TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

🎵🎵🎶Mpende akupendae asiyekupenda achana nae🎵🎶
usi conclude kama wanawake wote wabaya,wema wapo ni vile haujakutana nao Tu!
Labda kuna mda nasemaga au kisa nilikataa kuchaguliwa mwanamke

Shangazi yangu alishaanza kunichagulia mwanamke kutoka mbeya
 
Taarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.

Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.

Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.


View attachment 3502851

Source: Global TV Online
Ila pia kama tungeruhusu uchunguzi ufanyike maana ckuhz wakata riho ni wengi kama mtu anaweza safiri dar to dom halaf gafla anaumwa hata lisaa haliishi kafa nakumbuka kama vile yule Spika nae alikuja dar mzima karudi dom tu fasta kakata roho kwa hyo hii inanipa mashaka sana
 
Back
Top Bottom