TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

Wachungaji wa kisasa ni tatizo na kwa sehemu wame ua ndoa ya huyu dogo. Huyo ex wife toka emekuwa mshirika wa Tony ... Dogo akazidi nyong'onyezwaa uki plus wana walimtupa... Dogo kafa na maumivu makali sana.. Leo imekuwa siku ya hovyo maana kipindi yupo na hicho kidemu mala kibao dogo alikuwa anakuja nako cinema pale twapiga story. dah inauma sanaa
Mmh alikuwa anasali kwa Tony?
Anyway lkn sioni km P.Tony ana kosa hapa
Huyu ni mshirika wa Mtalemwa wa makongo juu pale ....
 
Mmh alikuwa anasali kwa Tony?
Anyway lkn sioni km P.Tony ana kosa hapa
Huyu ni mshirika wa Mtalemwa wa makongo juu pale ....
Alihamia huko kwa Tony. Okay ndio ivyo mwamba kavuta waya wachungaji vijana kuna mambo wanapuuzi mie kuna kakijana kanaitwa Davidi Richard karafiki na kapola kanajiita kanabii mbona kameniharibia kabisa mke wangu, kidogo nipate hasira nikatumie wasio julikana wakafiireee, basi nikapata imani nikapotezea, kuna case kama tatu tayari ninaza kamevunja ndoa za watu kwa kufanya deceptions kwa wake na ma binti za watu, kuna kipindi naelewa kagame kufunga hizi huduma zinazojiibukia
 
Ndoa imejaa ubinafsi

Mwanamke ukimuoa leo ata awe na kazi kwako ana kuja kama mtoto umlee mpaka uzeeni hana huruma juu ya maangaiko yako na hana heshima na pesa unayo mpa atakama una pambana hakuna siku mwanamke ata kwambia hongera au pole zaidi kila siku ata kupa malalamiko
Kweli kabisa ndoa ilinishinda na sitaki kusikia hapa nikiwa na hamu ni kununua papuchi kwishnei..
 
Alihamia huko kwa Tony. Okay ndio ivyo mwamba kavuta waya wachungaji vijana kuna mambo wanapuuzi mie kuna kakijana kanaitwa Davidi Richard karafiki na kapola kanajiita kanabii mbona kameniharibia kabisa mke wangu, kidogo nipate hasira nikatumie wasio julikana wakafiireee, basi nikapata imani nikapotezea, kuna case kama tatu tayari ninaza kamevunja ndoa za watu kwa kufanya deceptions kwa wake na ma binti za watu, kuna kipindi naelewa kagame kufunga hizi huduma zinazojiibukia
Duh
Noma aisee
 
Alihamia huko kwa Tony. Okay ndio ivyo mwamba kavuta waya wachungaji vijana kuna mambo wanapuuzi mie kuna kakijana kanaitwa Davidi Richard karafiki na kapola kanajiita kanabii mbona kameniharibia kabisa mke wangu, kidogo nipate hasira nikatumie wasio julikana wakafiireee, basi nikapata imani nikapotezea, kuna case kama tatu tayari ninaza kamevunja ndoa za watu kwa kufanya deceptions kwa wake na ma binti za watu, kuna kipindi naelewa kagame kufunga hizi huduma zinazojiibukia
Mkeo ndie mpumbavu na David ana ushawishi na nguvu kwa mkeo kukuzidi wewe,

Kumbe wajinga mmo humu
 
Mkeo ndie mpumbavu na David ana ushawishi na nguvu kwa mkeo kukuzidi wewe,

Kumbe wajinga mmo humu
Haha! Huna akili kweli wewe mke wa msoja. Nani kakuambia alikuwa mke wangu, nilikuwa na mtu pale na nilimkuta pale nilipo ona hiyo shida niamkuacha pia hapo. Wachungaji wengi wanawatumia wanawake hao. Usirudie kuni quote maana una kamasi kichwani
 
Haha! Huna akili kweli wewe mke wa msoja. Nani kakuambia alikuwa mke wangu, nilikuwa na mtu pale na nilimkuta pale nilipo ona hiyo shida niamkuacha pia hapo. Wachungaji wengi wanawatumia wanawake hao. Usirudie kuni quote maana una kamasi kichwani
Wewe ndie mwenye kamasi uliyechapiwa mke na wachungaji feki, mjinga mmoja
 
Kuna tatizo sana kwenye haya makanisa ya kiroho ingawa sio yote, mengine yanaharibu kabisa familia za watu na maisha ya watu. Kumekuwa na record hivi karibuni na visa vingi sana kutoka kwenye hizo huduma, kitengo kinachohusiana na hizi ambo seriakli kina complain kibao
Ni kweli baadhi ya makanisa noma
Nimeshudia moja ?ndoa nyingi zimevunjika
 
Back
Top Bottom