TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

N kvp ndoa imekuwa chanzo cha kifo chake?
Kwamba ndoa yake ilikuwa hatari kiasi hiko bila yeye kujua mpaka kufikia hapa tulipo?
Kiukweli toka aachwe na yule mkewe, MC hakua sawa, nishawahi kuwa nae karibu ktk event fulani hivi, the way alivyokua ana act, ni km mwenye depression, yaan sijui nisemeje.

Apumzike salama!
 
Back
Top Bottom