Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,600
- 95,271
Uncle upo?Tar 9 walikufa mamia ya watu mbona
ova
Nilishapewa kesi humu eti hujulikani ulipo na mara ya mwisho ulionekana na mimi tunachat 😹😹😹
Uncle upo?Tar 9 walikufa mamia ya watu mbona
ova
Tuzipuuzie 😹😹Kwanza kifo chake n AI
Ndiyo ujuwe hata wauaji wa watanganyika unao watetea ipo siku nao watafukiwa chini ya ardhi.Dah,kifo bana,juzi tu kahojiwa
Ah kwa style yoyote ile poa tuu.Itategemea kaondokaje!
Weeh! Hujui kuna hadi vikongwe walipitiwa tar 29? Unaachaje kuliaAh kwa style yoyote ile poa tuu.
Umri huo huwezi kufa kifo cha kushangaza, n ile mmelala mmeamka mnakuta Yeye bado amelala 😎
Au anajisikia vibaya mnafika hospital mnauguza siku mbili tatu, anasepa.
Au mpo njiani kwenda hosp mnafika mnaambiwa ameshalala mbeleeeeee
Kufa 29 ni jambo la kishujaaWeeh! Hujui kuna hadi vikongwe walipitiwa tar 29? Unaachaje kulia
Nipo mahali fulani kitambo tuUncle upo?
Nilishapewa kesi humu eti hujulikani ulipo na mara ya mwisho ulionekana na mimi tunachat 😹😹😹
RipTaarifa zilizotufiukia hivi punde katika chumba chetu cha habari, zinaeleza kuwa mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu MC Pilipili, amefariki dunia ghafla mchana leo, Novemba 16, 2025.
Taarifa zinaeleza kuwa, MC Pilipili alisafiri kuelekea jijini Dodoma ambapo jioni ya leo alitarajiwa kwenda kufanya kazi yake ya ushereheshaji jijini humo, lakini akafikwa na mauti.
Global TV imezungumza na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya General, Dodoma, Ernest Ibenzi ambaye amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.
View attachment 3502851
Source: Global TV Online
Kwanini mkuu?Mhh ndoa
Wanawake
Hivi vitu ni vyanzo vya mtu kufa mapema
Kwahiyo umetukimbia tujipambanie wenyewe jamani 😥Nipo mahali fulani kitambo tu
Upepo huko siuelewi kabisa
Ova
Bora kuzalisha kama kuku ila wanwake ukiendekeza una kufa mapema una waacha watu wana ifaidi dunia