TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

Naona watu wanamlaumu mke wa marehemu bila kujua chanzo
Tangu wameachana, dada hajawahi kufunguka kitu chochote kuhusu ndoa yao
Unadhani marehemu alikuwa mkamilifu?
Kuna mengi sana huyu dada akiamua kuongea mtabaki midomo wazi. Hata kifo cha marehemu nacho ni utata mtupu, ni basi tu marehemu hasemwi vibaya wacha apumzike alipopaandaa
 
Ukweli nimerudi nyuma sanaaa kwenye mapenzi, na hili la kifo cha huyu jamaa. Imeniuma sana dogo alikuwa anatamba na demu wake ambae kamtupa, night anakuja nae pale movie M.city yaani.. alafu leo hii huyo huyo alie kuwa anatamba nae ndio kasababisha avute kamba kindezi kabisa.. hiii bagoshaaa, nitaendelea kununua tu
Tupende kwa kiasi
 
Naona watu wanamlaumu mke wa marehemu bila kujua chanzo
Tangu wameachana, dada hajawahi kufunguka kitu chochote kuhusu ndoa yao
Unadhani marehemu alikuwa mkamilifu?
Kuna mengi sana huyu dada akiamua kuongea mtabaki midomo wazi. Hata kifo cha marehemu nacho ni utata mtupu, ni basi tu marehemu hasemwi vibaya wacha apumzike alipopaandaa
Uko sahihi
 
Naona watu wanamlaumu mke wa marehemu bila kujua chanzo
Tangu wameachana, dada hajawahi kufunguka kitu chochote kuhusu ndoa yao
Unadhani marehemu alikuwa mkamilifu?
Kuna mengi sana huyu dada akiamua kuongea mtabaki midomo wazi. Hata kifo cha marehemu nacho ni utata mtupu, ni basi tu marehemu hasemwi vibaya wacha apumzike alipopaandaa

Kwanza mm binafsi namsifu sana Yule manzi, Alijitahidi kwa nafasi yake kumtunzia Heshima X wake.

Hamkuona kilicho tokea kwa Kusah? Angefanyiwa vile MC si angeanza kuokota makopo
 
Huyu mwamba japo alikuwa anaact kucheka usoni ila alikuwa anaonekana ana.sonona sana hasa kumpoteza yule mwanamke na mama yake pia

Za chini chini inasemekana yule mke wake baada ya kuachana now anamimba kubwa na ya mtu mwingine so huwez jua kapata mshtuko ogopa mpenzi
Sorry, mtu mwenye sonona unamjuaje?
 
Duh mimi najuaga ni mwanamke
hapana ni shoga sema ana pgo za kike kuzd hata wanawake wenyewe uandsh wake lazma useme ni mwanamke ila ni choko kama anabisha mfate dm muombe muonane uone. Na ujue mashoga wanapendaga sn waonekane kama wanawake na watambulike kama wanawake sema nature inawakataa hata wakiwekewa jinsi bandia bdo kuna pgo za kike hawaziwez znawakataa kbs.
 
Naona watu wanamlaumu mke wa marehemu bila kujua chanzo
Tangu wameachana, dada hajawahi kufunguka kitu chochote kuhusu ndoa yao
Unadhani marehemu alikuwa mkamilifu?
Kuna mengi sana huyu dada akiamua kuongea mtabaki midomo wazi. Hata kifo cha marehemu nacho ni utata mtupu, ni basi tu marehemu hasemwi vibaya wacha apumzike alipopaandaa
Wanasema ameuawa
 
Back
Top Bottom