TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

TANZIA Mchekeshaji maarufu MC Pilipili afariki dunia

Tujifunze kupenda kwa kiasi, kupenda sana na kuweka matarajio makubwa kunaumiza mno hasa unapopenda sehemu isiyo sahihi.
Hii kitu imeangamiza wanaume wengi sana. Nimemkumbuka yule kijana wa Mwakasege. Naye aliondoka sababu ya kupenda na kujitoa sana sehemu ambayo siyo sahihi. Mungu na Atusaidie wanaume ๐Ÿ™๐Ÿฟ
 
Yah, kuna namna naweza kukuelewa na kuwaelewa wale wanaoteswa na wanawake/ndoa mana hata mm kuna namna nilishawahi kupitia humo japokuwa haikuwa ndoa.

Tujifunze kupenda kwa kiasi, kupenda sana na kuweka matarajio makubwa kunaumiza mno hasa unapopenda sehemu isiyo sahihi.
Swadaktaaaaaa!!!
 
Hakuna mtu yuko USELESS wewe, tatizo mko material oriented....Binadamu yoyote ana maana - itategemea unaangalia katika angle ipi.
Unafikiri wenye ndugu vichaa wanatamani WAFE sio??
kifo ni human nature , materils things sio legacy ila kuifanya dunia kuwa bora zaidi ya ulivyoikuta hiyo ndo legacy .

na most beutiful things are intangible.

Nyerere sifikirii kama he was rich ila impact yake haifananishiwi na mwanasiasa yoyote Tanzania
 
Hii kitu imeangamiza wanaume wengi sana. Nimemkumbuka yule kijana wa Mwakasege. Naye aliondoka sababu ya kupenda na kujitoa sana sehemu ambayo siyo sahihi. Mungu na Atusaidie wanaume ๐Ÿ™๐Ÿฟ
Yan Mkuu, mm mwnyw kuna mahali nilikuwa nalia sana ila nashukuru Mungu nimebaki salama baada ya kukubali kuwa hakuwa kwa ajili yangu.

Yn ukiona kwenye mapenzi unatumia nguvu nyingi kulinda penzi bc ujue hapo ndipo kifo chako kilipopangwa.
 
Yah, kuna namna naweza kukuelewa na kuwaelewa wale wanaoteswa na wanawake/ndoa mana hata mm kuna namna nilishawahi kupitia humo japokuwa haikuwa ndoa.

Tujifunze kupenda kwa kiasi, kupenda sana na kuweka matarajio makubwa kunaumiza mno hasa unapopenda sehemu isiyo sahihi.
Shida inayo tokea mwanaume ukiwa sio malaya uta teswa sana na mapenzi mwanamke ana kuona huna kwakwenda ushawai sikia mwanaume malaya ana teseka na mapenzi

Mapenzi ni kama kubet akikuwai mwenzio umekwisha ila wanawake ni wauaji ilo lipo wazi kabisa
 
Yan Mkuu, mm mwnyw kuna mahali nilikuwa nalia sana ila nashukuru Mungu nimebaki salama baada ya kukubali kuwa hakuwa kwa ajili yangu.

Yn ukiona kwenye mapenzi unatumia nguvu nyingi kulinda penzi bc ujue hapo ndipo kifo chako kilipopangwa.
Ndo ukaamua uwe mpiga nyeto mwandamizi.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Yan Mkuu, mm mwnyw kuna mahali nilikuwa nalia sana ila nashukuru Mungu nimebaki salama baada ya kukubali kuwa hakuwa kwa ajili yangu.

Yn ukiona kwenye mapenzi unatumia nguvu nyingi kulinda penzi bc ujue hapo ndipo kifo chako kilipopangwa.
Nme screen shot hii comment Bora zaidi kuziona kwenye maisha yang
 
Back
Top Bottom