Status
Not open for further replies.
thubutu baraza la mawaziri tayari ameshapangiwa nchemba na kigwa ndani bila kumsahau Diallo
 
Bwana Yesu asifiwe!

Unajua dira yote ya Tanzania ya kesho Mungu amewapa Watumishi wake. Hivyo viongozi ni muhimu sana kuwa karibu na watumishi ndipo watakapoweza kufikia malengo.

Nami nikiwa kama Mchungaji Mungu amenipa ujumbe/ ushauri kwa Rais Magufuli juu ya Tanzania ya kesho.

Yaan nataka hata mtu atakayeweza kulipia kipindi kwenye Media, au anikutanishe na Mwandishi wa Habari awe ananihoji.
Au kama wewe ni Mwandishi wa Habari ebu tuwasiliane kwa simu No.0786100772,au 0757856336.

Maana Tanzania inayotajwa ya Mwaka 2025 haiwezi kufikiwa paspo kujua mpango, na mambo Mungu ameyakusudia yafanyike.

Ninaomba hiyo Neema na kibali kwa Mamlaka ya jina la Yesu Kristo.
Mtimbie ikulu tu utamuona
 
Mimi namkubali Prof Muhongo kwa sababu ni mtu wa facts, anaongea kitu ambacho kipo direct. Kuhusu kuthamini wawekezaji wa ndani sio kwamba hawathamini ila ni ukweli ulio wazi kwamba sekta ya nishati na madini inahitahi wawekezaji ambao wako full competent. Mfano kipindi cha mzozo wa vitalu vya gesi alitaja technical and financial requirements ambazo mwekezaji anatakiwa kua nazo ili apate kitalu.. Akasema anayeona ana qualify basi aende ofisini. Na kuhusu kutetea, ni kawaida waziri yupo upande wa serikali na lazima atetee serikali yake.
 
ndani ya ccm si rahisi kumpata kiongozi mzuri ndio maana mabadiliko maana yake ilikuwa kuitoa ccm madarakani lakini kwa hapa tulipofikia tutaumia tu,kwa miaka mingine mitano
 
Shost, subiri lowasa akiwa rais ndo umshauri, au mumeshamkubali ngosha tayari?
 
acha kujiangaisha unapigia mbuzi Gitaa tu-Muombe tu Mungu Miaka 10 iishe mapema tuangalie chama kingine.Aliweza hivyo Nyerere tu.
 
Autangazie UMMA wa watanzania kuwa hakushinda kihalali bali Lubuva na Kikwete walimbeba kibabe na kumtangaza mshindi.

Kwa kuwa umetumwa hapa ama umejituma na pengine utapeleka mrejesho, mwambie wazi miongoni mwa Marais walioingia records Za kukosa uhalali wa kuongoza Tanzania na wananchi wake ni yeye POMBE!

Mwambie, taifa hili linaumwa, lina huzuni kubwa na kuomboleza kwaajili ya udhalimu wa kutisha uliofanywa na Tume ya uchaguzi kwa maagizo ya Kikwete na ccm yao.

Mwambie, usione huu ukimya ukadhani sisi watanzania ni mapompompo na mazuzu!

Mwambie, tunakwenda madhabahuni mwa Mungu kumlilia ili kama huyu Mungu tunaemwabudu Yupo, Hakika haitochukua Muda sote tutakuwa mashuhuda!

Mwambie, tunaenda kumuuliza Mungu hivi yeye Ndio Mkuu au Lubuva ama Kikwete hata waweke mteule wao?

Kumbe Lowassa hana ubabe mbele ya Kikwete!

Ilikuwa ni nguvu ya soda tu.
 
hawa ghasia sjui alikuwa anafanya nini hasa ofisini kwake.

maghembe ni janga hastahili kabisa uwaziri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom