@manutd
IMG_20201015_210828_718.jpeg
 
Katika mechi 3 tumefunga goli 5 average 1.6goal per game last season tulikuwa na ratio ya 1.73 goal per game so tofauti ni ndogo sana
but tumefungwa 11 average 3.6 per game its the worst with £200m+ defence

Only WestBrom ndio wamefungwa magoli mengi kuliko United (13) na wamecheza mechi 4 while United mechi 3

Hizi ni statistics mbovu sana

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Bayern mechi 3 zilizopita kafungwa goli 9 ole kaharibu hadi huko? Vipi inter nao kwanini wame concede goli 6?
Subirini wachezaji warudishe fitness timu itarudi kwenye winning way, huwezi ukakaa kocha amecheza mechi 50+ una ignore vyote na kumjudge kwa mechi 3 tena za mwanzo wa msimu.
 
Bayern mechi 3 zilizopita kafungwa goli 9 ole kaharibu hadi huko? Vipi inter nao kwanini wame concede goli 6?
Subirini wachezaji warudishe fitness timu itarudi kwenye winning way, huwezi ukakaa kocha amecheza mechi 50+ una ignore vyote na kumjudge kwa mechi 3 tena za mwanzo wa msimu.
Unazungumzia fitness gani wakati kila kitu kinafanana?
Ratiba inazidi kusoma na points zinazidi kuisha na bado tunalilia fitness!!!

Hawa wengine wanaoshinda wanatakiwa wajiondoe baadhi ya mashindano ili fitness iwepo?
 
Bayern mechi 3 zilizopita kafungwa goli 9 ole kaharibu hadi huko? Vipi inter nao kwanini wame concede goli 6?
Subirini wachezaji warudishe fitness timu itarudi kwenye winning way, huwezi ukakaa kocha amecheza mechi 50+ una ignore vyote na kumjudge kwa mechi 3 tena za mwanzo wa msimu.
Statistics never lie but liers use statistics

Screenshot_2020-10-15-22-51-06-985_com.mobilefootie.wc2010.jpg
Screenshot_2020-10-15-22-50-30-156_com.mobilefootie.wc2010.jpg
Screenshot_2020-10-15-22-50-00-790_com.mobilefootie.wc2010.jpg


Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi ndiyo maana mnaitwa manyumbu mtu anajipa takwimu zake za kumfurahisha na wewe unazibeba. Anyway, jikaze.
Sijawahi kuitwa hilo jina, na wala nikiitwa hainisumbui kichwa as long as hainipunguzii chochote.

Back to the topic, umeulizwa tangu aje Bruno EPL zaidi ya KDB nani mwingine kamzidi assist? Ukajifanya hujaelewa ukaji confine kwa msimu huu tuu, sasa nani anatumia takwimu kujifurahisha hapo?

Leta stats tangu Bruno kaja EPL, acha maneno ya vijiweni.
 
Sijawahi kuitwa hilo jina, na wala nikiitwa hainisumbui kichwa as long as hainipunguzii chochote.

Back to the topic, umeulizwa tangu aje Bruno EPL zaidi ya KDB nani mwingine kamzidi assist? Ukajifanya hujaelewa ukaji confine kwa msimu huu tuu, sasa nani anatumia takwimu kujifurahisha hapo?

Leta stats tangu Bruno kaja EPL, acha maneno ya vijiweni.
Sawa nikaleta za msimu huu nikaleta na za msimu uliopita.

Tuzo ya top assisst msimu uliopita imechukuliwa na Kevin. Namba mbili ni Trent. Bruno hayupo hata 10 bora.

Kisha nyinyi mnasema nilete takwimu za tangu afike yeye. Mimi nilimuuliza jamaa now ngoja nikuulize wewe.

Baada ya Kevin kugewa tuzo. Zilifanyika tuzo zingine za tangu Bruno aje? Kama hapana mi nakosea wapi nikisema mmeamua kujifurahisha kwa hizo stats unrelated.
 
Sawa nikaleta za msimu huu nikaleta na za msimu uliopita.

Tuzo ya top assisst msimu uliopita imechukuliwa na Kevin. Namba mbili ni Trent. Bruno hayupo hata 10 bora.

Kisha nyinyi mnasema nilete takwimu za tangu afike yeye. Mimi nilimuuliza jamaa now ngoja nikuulize wewe.

Baada ya Kevin kugewa tuzo. Zilifanyika tuzo zingine za tangu Bruno aje? Kama hapana mi nakosea wapi nikisema mmeamua kujifurahisha kwa hizo stats unrelated.
Sasa mtu kaja January unalinganisha na watu waliocheza tangu August msimu unaanza? Man, you are better than that I believe.

Let us agree to disagree.
 
Sasa mtu kaja January unalinganisha na watu waliocheza tangu August msimu unaanza? Man, you are better than that I believe.

Let us agree to disagree.
Achana nae mkuu jamaa nilikuwa naona ni mchambuzi japo ni Cheltako fc ila hamna kitu
 
mkuu Tanayzer interview nyengine hii ya Bruno
“Basically none of what was said happened. There was not a word from me in the dressing room, because I thought it was not the time to speak, even because we were losing”.
“We went out with a 4-1 result. It was obviously everyone’s fault, it wasn’t mine or a teammate’s or another’s. It wasn’t the coach’s fault, the coach is the same, the tactics are the same, the players are the same, so we can’t blame anyone but everyone in this case.”
Obviously for me it’s very ugly to see my name associated with this because it’s a lie. I talked to my coach and said I was going to defend him publicly, because he knows how much I appreciate him. And I’m very grateful, because he bet on me, he wanted me at Manchester, and at no time am I dissatisfied with his tactics. Because the way we play is the same as when I arrived. Why would I be dissatisfied at that moment and six months ago, for example, I wasn’t?”
“If anyone wants to cause a conflict within Manchester it’s not me nor any teammate, they are outsiders, they want to create a bad atmosphere in the dressing room and they will not succeed, because the group is united and is focused on giving an important answer already in Newcastle.”
 
Back
Top Bottom