DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
heri ya kuzaliwa iwe juu yake (kuna kipindi alifanyiwa upasuaji wa figo, natumai anandelea nyema)Happy 49th Birthday Andy!
tokea mwanzoni nilikuwa pro Ole na bado naendelea kuwa hivyo japokuwa asilimia za uaminifu kwake zimepungua baada ya kuanza vibaya kwa ligi(natumai atajirekebisha). Nakumbuka siku aliyotangazwa Ole kuwa interim niliandika mawazo yangu humu kuhusiana na ugumu utakaowakabili viongozi wa juu pindi watakapohitaji kufanya mabadiliko ya kumuondoa Ole (legend anayehishimika na kila kizazi).★Tuwape muda vijana wetu hata mjenzi Wa nyumba alianza kama kibarua ndipo akaanza kupata uzoefu na akapewa kazi baada ya kuaminiwa ko Ole tumpe muda bhana japo ananikeraga ila namuamini anakitu flani ndani ake wasibaki akina Zidane na Pep tu kutwaa makombe Tumpe muda★
Hiyo mechi walibebwa wazi wazi, ndio maana Wenger alisema hii kauli baada ya hiyo mechiNyie punda nikiona haya matukio yaliyosababisha kukatisha unbeaten yetu kwa dhulma, la sivyo tungekuwa unbeaten hadi leo, kenge nyie.. View attachment 1602061
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
nimesikia longstaff (asali ya warembo waliopo old trafford) amerudiTunasikitika kutokuwepo na wachezaji wetu tegemezi kama vile captain wetu Jamaal Lascelles na Ritchie kwenye jeshi letu la Newcastle..
Ila sio mbaya, bado tunamtegemea Maguire atupe assist, atusaidie kuwakaba mabeki wa Man Utd na ikiwezekana apate Red Card.
nimesikia longstaff (asali ya warembo waliopo old trafford) amerudi

kashamnyoosha sana de Gea.. Anamjua nje ndani.
pole ila yote maisha★
heri ya kuzaliwa iwe juu yake (kuna kipindi alifanyiwa upasuaji wa figo, natumai anandelea nyema)
andrew cole alikuwa ni shujaa wangu wa kwenye televisheni takribani miaka 20 iliopita mpaka nikabatizwa jina lake (wengine tulipenda mpira wa miguu tukiwa wadogo sanaaaa)
fergie alikuwa na moyo wa ajabu sana, hujui ni muda gani anaweza kuchukua uamuzi wa kumuondoa kipenzi chako kwenye timu na wakati huo huo anambakisha mchezaji usiyempenda (mikel silvestre)
kitambo sana hii mechi......Hiyo mechi walibebwa wazi wazi, ndio maana Wenger alisema hii kauli baada ya hiyo mechi
“If I die, I am going to ask God where the referees are before choosing between heaven & hell.”
Marefa walipambana kwa hali na Mali ,unbeaten iishe ...
Kuliko Poch kuifundisha bora Mou arudi.Soma hapo nilipozungushia na hiyo red mkuu.....Bruno alishwe maneno na goal.com na Metro, ESPN na Manchesyer evening?
Najua unaijua psychology ya stars na watu waliopo kwenye spotlight vizuri, kuwa hawawezi sema kitu bila kumaanisha kitu, yani kila neno linatolewa kwa madhumuni fulani, najua bruno hapo mwisho anamaana yake.....
Ole is good for nothing, yani Kocha wa Manchester anasema mechi imeishaisha tuna game nyingine nyingi? Kweli alafu anajitetea DNA mara rebuld like serious....DNA yetu ni kutokata tamaa ila yeye halftime nasema mechi imeishaisha.....
Kwanza sajili zake zote zimefail nioneshe iliyofanikiwa , usiseme first target wakati tunajua wazi Daniel james, Bissaka, Maguire na Ighalo walikuwa target zake yeye mwenyewe nina ushahidi wa kauli zake alizotoa kwenye press kuhusu hao jamaa....
na hata hizo sajili alizoruhusu kuuza wachezaji mfano Lukaku, Young hao wote wanafanya vizuri inter tena kwa viwango vikubwa tu.... Alafu sijazungumzia mtu kutumia game zote 4-3-1-2 kwa kurudia kikosi kilekile kilasiku na sub zinaanzia 85 mara 77.....
Ukibisha na hii nakuletea video mkuu....
Poch in View attachment 1601154
December itafika.Hili swali nishachoka kulijibu wakuu, fitnes fitnes fitness sijui tuongee mara ngapi, ipe timu hata mechi 5 au 10 ujue kama ni magarasa
Jeuri ya Martial ni ipi ?Pogba ni mchezaji mzur ila toka aanze kuitajataja madrid simpendi hata kidogo sijui kwa nini hawamuachii atagawanya san timu kwa maneno yake hii timu hii daaaa inakwama wapi toka aje anatetewa tu wanalazimisha kubaki na mtu asietaka wangeuza huyu viungo makini wapo wengi sana anaweza kutusaidia na tukampongeza hapa ila sina imani nae huyu jamaa pogba na martial wajeuri sana hawa wafaransa