radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Jeuri ya Martial ni ipi ?
Wale na lukaku zilikuwa haziivi wakiwa uwanjan na pogba wanajaliana wao tu kuna makala ipo lukaku kaongea mwez uliopita utulivu kwa wachezaj pale united hakuna kwa maelezo yake wao wanajiiona ni daraja la juu sana ni muendelezo wa matatizo kwenye vyumba vya kubadilishia nguo bruno tayar wamezinguana na kocha japo wanakanusha

Kuna watu hawataki timu yetu ishinde.