Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thread ni ya manchester united lakini wahuni wakiongozwa na mkorea munatuletea habari za arsenal.

Kweli tumechokwa,
Haya ndugu yenu hamis ameshikwa na malaria, mushakwenda kumtembelea
Huu ni uwanja wetu wa nyumbani kama vile tu Old Trafford ulivyo Emirates B. Kote tunatawala kwa sababu sisi ndio tunaojua boli.
 
Game tatu za mwisho kabla ya kuitwa ArsenalNDOO na nyumbu wote
IMG-20240428-WA0045.jpg
 
Spurs Hadi half time anakufa 3 bila, 1 packet down

Apigwe 5G Kama kenge
Tulipunguza sana intensity second half halafu tukawa kama tunapooza mashambulizi aisee. Ghafla, mistake ya Raya na penalty ikawapeleka Spurs mpaka 2-3. Mechi ya mfululizo away bila kufungwa ikapotea lakini muhimu 3 points. Tulikuwa tumemuacha City kwa magoli 11 ila sasa ni 9 ila tuendelee tu kushinda tuone mwisho utakuwaje.
 
Tulipunguza sana intensity second half halafu tukawa kama tunapooza mashambulizi aisee. Ghafla, mistake ya Raya na penalty ikawapeleka Spurs mpaka 2-3. Mechi ya mfululizo away bila kufungwa ikapotea lakini muhimu 3 points. Tulikuwa tumemuacha City kwa magoli 11 ila sasa ni 9 ila tuendelee tu kushinda tuone mwisho utakuwaje.
Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyuma

Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri

City tutamkamatia mbele kidogo, Fulham, spurs
 
Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyuma

Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri

City tutamkamatia mbele kidogo, Fulham, spurs
Baada ya ile mistake ya Raya, jamaa aligeuka na kuwa mnoma yaani mbogo ile mbaya. Hakuna mipira ilikuwa inakatiza juu kwenye box bila katumbili Raya kuinyakua. Ilikuwa kama ameamua kuonyesha ulimwengu yeye ni nani kabla hawajaanza kumchukulia poa kwa kale kakosa kadogo. Nilifurahi kuona alivyobadilika baada ya dakika tu.
 
huyu jamaa(arteta) atafanya makocha wengi sana wa epl waondoke
tumeanza na zee la kukena, klopu.......kituo kinachofuata ni eth na antony wake
Sana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..
 
Sana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..
Manyumbu yaamshwe...yanalala mapema hivi yana Raha gani🤠🤠....yaani yako mtaa wa Saba huko halafu yako comfortable kabisa....yake humu tubishane nayo
 
1714373648586.png


Crystal Palace, wanaLondon wenzetu, wanaanza na kupiga rungu la kichwani.

Sisi tunakuja kuchinja kabisa hili shetani.

Newcastle wanachoma moto mpaka majivu.

Brighton anafukia kabisa futi 12 chini.

Man City anakuja kumuonea huruma dada yake na kumuachia abebe angalau kikombe cha FA.
 
View attachment 2976471

Crystal Palace, wanaLondon wenzetu, wanaanza na kupiga rungu la kichwani.

Sisi tunakuja kuchinja kabisa hili shetani.

Newcastle wanachoma moto mpaka majivu.

Brighton anafukia kabisa futi 12 chini.

Man City anakuja kumuonea huruma dada yake na kumuachia abebe angalau kikombe cha FA.
Hizo mechi zote kwa nyumbu ni fainali 😂😂🤣
 
Back
Top Bottom