HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,622
- 7,012
Huu ni uwanja wetu wa nyumbani kama vile tu Old Trafford ulivyo Emirates B. Kote tunatawala kwa sababu sisi ndio tunaojua boli.Thread ni ya manchester united lakini wahuni wakiongozwa na mkorea munatuletea habari za arsenal.
Kweli tumechokwa,
Haya ndugu yenu hamis ameshikwa na malaria, mushakwenda kumtembelea
Fulham, spurs
