Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soma hapo nilipozungushia na hiyo red mkuu.....Bruno alishwe maneno na goal.com na Metro, ESPN na Manchesyer evening?

Najua unaijua psychology ya stars na watu waliopo kwenye spotlight vizuri, kuwa hawawezi sema kitu bila kumaanisha kitu, yani kila neno linatolewa kwa madhumuni fulani, najua bruno hapo mwisho anamaana yake.....

Ole is good for nothing, yani Kocha wa Manchester anasema mechi imeishaisha tuna game nyingine nyingi? Kweli alafu anajitetea DNA mara rebuld like serious....DNA yetu ni kutokata tamaa ila yeye halftime nasema mechi imeishaisha.....

Kwanza sajili zake zote zimefail nioneshe iliyofanikiwa , usiseme first target wakati tunajua wazi Daniel james, Bissaka, Maguire na Ighalo walikuwa target zake yeye mwenyewe nina ushahidi wa kauli zake alizotoa kwenye press kuhusu hao jamaa....

na hata hizo sajili alizoruhusu kuuza wachezaji mfano Lukaku, Young hao wote wanafanya vizuri inter tena kwa viwango vikubwa tu.... Alafu sijazungumzia mtu kutumia game zote 4-3-1-2 kwa kurudia kikosi kilekile kilasiku na sub zinaanzia 85 mara 77.....

Ukibisha na hii nakuletea video mkuu....

Poch in View attachment 1601154
Ndio mkuu Goal, Men, Espn na Metro sio reliable source.

Mpaka bruno mwenyewe amejitokeza kwenye vyombo vya habari kukanusha case tayari imekuwa closed na hizo tetesi hazina mashiko tena.

Are you serious Bissaka ni usajili uliofeli? Beki ambaye anaweka standard mpya ya ukabaji ambayo. Haijawahi tokea toka ligi ianzishwe? Beki ambaye anafanya tackling kushinda hata proffesional no 6 ambao ndio kazi yao?

Na msimu uliopita man Utd walikuwa na beki ya 3 kwa ubora pale Epl give Maguire Credit man. Msimu wa 2018/19 tulifungwa goli 54, msimu uliopita tumefungwa goli 39 tu. For comparison zaidi ya mara 6 ambapo Fergie amechukua ubingwa Epl alifungwa zaidi ya Goli 39. Beki yetu bado ina matatizo ila ime improve sana, na Sababu ni Maguire.

Nani anakumbuka Beki yetu kabla ya Maguire? Ikiwa kona ama Foul roho inakuwa juu juu muda wowote tunafungwa, tulikuwa tuna Concede sana magoli ya set piece, je sasa hivo tupoje? Maguire hajatu improve?

Ighalo hajasajiliwa na pia hajaletwa kupokonya namba ya Mtu yoyote pale United, amekuja kuhakikisha striker wetu wanapata mapumziko ya kutosha, cup games zote ambazo sio muhimu amecheza yeye. Na hizo mechi jamaa amefanya vizuri tu cup competition zote tumefika Nusu.
-Europa league kaanza mechi 3 ana goli 2 na Assist 1
-Fa cup kaanza mechi 3 ana Goli 3

Mtu alieanza mechi 6 tu na Goli 5 na Assist moja unaanza vipi kumuita amefeli?

Na james vile vile hajakuja United kuwa Rashford ama Fernandez, jamaa ana speed na anajituma, mechi za kupaki basi ni mbaya na mechi watu wakifunguka anafanya vizuri.
 
Sehemu ya Kauli ya Bruno Fernandez alipoulizwa kuhusu rumours za kugombana na solskjaer na maguire at half time....

"Ni kweli nilitolewa kipindi cha kwanza kwa kuwa ilikuwa ni mbinu za kocha na alikuja akaniambia kuwa mechi imeishaisha na tuna mechi nyingi mbele yetu, Ni kweli sikuridhishwa na uamuzi huo lakini sikuwa na uamuzi wowote"

Yani kocha wa manchester united anasema game imeishaisha hivi Ole anajitambua, na bruno mwisho amesema hakuridhishwa na uamuzi lakini hakuwa na lakufanya inamaana still anakinyongo.....hizi tetesi za wachezaji kuona Ole hayupo imara kuifundisha Man u inawezekana ni kweli wala hakuna uongo.....

Wale timu Ole wajue jamaa yao ndo aliesema game imeisha alafu bado wanamtetea eti amebeba DNA ya man united hell no labda DNA ya norway huko alikotoka
alisema mechi imeshaisha?? Jamaa kumbe ni kiwaki kiasi hicho, yani hii manchester ya kumaliziwa mechi first half?.
Chelsea amewahi kutupiga 3 bila na sec half yakarudi yote huyu 4 kwa 1 anadai mechi imeisha. Sasa hata morali ya kupambana kurudisha inatoka wapi ikiwa boss kashawavunja moyo wachezaji halafu wanasema ana DNA labda ya kuku sio Manchester United.
 

Attachments

  • Screenshot_20201015-194612.jpg
    Screenshot_20201015-194612.jpg
    73.7 KB · Views: 6
Ndio mkuu Goal, Men, Espn na Metro sio reliable source.

Mpaka bruno mwenyewe amejitokeza kwenye vyombo vya habari kukanusha case tayari imekuwa closed na hizo tetesi hazina mashiko tena.

Are you serious Bissaka ni usajili uliofeli? Beki ambaye anaweka standard mpya ya ukabaji ambayo. Haijawahi tokea toka ligi ianzishwe? Beki ambaye anafanya tackling kushinda hata proffesional no 6 ambao ndio kazi yao?

Na msimu uliopita man Utd walikuwa na beki ya 3 kwa ubora pale Epl give Maguire Credit man. Msimu wa 2018/19 tulifungwa goli 54, msimu uliopita tumefungwa goli 39 tu. For comparison zaidi ya mara 6 ambapo Fergie amechukua ubingwa Epl alifungwa zaidi ya Goli 39. Beki yetu bado ina matatizo ila ime improve sana, na Sababu ni Maguire.

Nani anakumbuka Beki yetu kabla ya Maguire? Ikiwa kona ama Foul roho inakuwa juu juu muda wowote tunafungwa, tulikuwa tuna Concede sana magoli ya set piece, je sasa hivo tupoje? Maguire hajatu improve?

Ighalo hajasajiliwa na pia hajaletwa kupokonya namba ya Mtu yoyote pale United, amekuja kuhakikisha striker wetu wanapata mapumziko ya kutosha, cup games zote ambazo sio muhimu amecheza yeye. Na hizo mechi jamaa amefanya vizuri tu cup competition zote tumefika Nusu.
-Europa league kaanza mechi 3 ana goli 2 na Assist 1
-Fa cup kaanza mechi 3 ana Goli 3

Mtu alieanza mechi 6 tu na Goli 5 na Assist moja unaanza vipi kumuita amefeli?

Na james vile vile hajakuja United kuwa Rashford ama Fernandez, jamaa ana speed na anajituma, mechi za kupaki basi ni mbaya na mechi watu wakifunguka anafanya vizuri.
Maguire
 

Attachments

  • Screenshot_20201015-192953.jpg
    Screenshot_20201015-192953.jpg
    67.7 KB · Views: 9
Acheni kusikiliza media za Vichochoroni Bruno Amekanusha Vikali sana Hizi tetesi

"At the end of the game, the coach sent me a message to wish the Seleção good luck and if I wanted to give a word of support to the team. We spoke at the end by message and I just have to be grateful to the coach who bet on me, his tactics are perfect for me ", he stressed, shooting:" Do not use my name, my colleagues or the coach to make trouble at Manchester United because the atmosphere is good and the team is ready to respond in the next game."

Yani Bruno Atakuwa ni mchezaji wa mwisho kumkataa Ole, sababu mfumo mzima unamzunguka yeye na tunacheza ili kumfanya yeye Ashine, kwanini amchukie Ole?
Mfumo kumzunguka Bruno ashine? Unamaanisha kupiga penati?
 
Ukimtoa De bruyne nitajie mchezaji mwenye Assist nyingi Epl kushinda Bruno toka bruno aje epl
De Bruyne ana assissts nyingi? Hapana ni Harry Kane ana assissts 6 anafuatiwa na Grealish na McGinn.

Hayupo Fernandes wala De Bruyne.
 
Huo ni Msimu huu nimekupa Challenge toka Bruno Aje Utd.

Msimu huu unaendelea na ni marathon soon atapanda huko kwenye rank za Assist.
Kwa msimu uliopita wa kwanza ni De Bruyne na anayemfuatia ni Trent wa Liva. Wa tatu Andrew Robertson, wanakuja David Silva na Son.

Hizi stats za Fernandes kua namba mbili wa assissts mkuu zimetoka wapi?
 
Ndio mkuu Goal, Men, Espn na Metro sio reliable source.

Mpaka bruno mwenyewe amejitokeza kwenye vyombo vya habari kukanusha case tayari imekuwa closed na hizo tetesi hazina mashiko tena.

Are you serious Bissaka ni usajili uliofeli? Beki ambaye anaweka standard mpya ya ukabaji ambayo. Haijawahi tokea toka ligi ianzishwe? Beki ambaye anafanya tackling kushinda hata proffesional no 6 ambao ndio kazi yao?

Na msimu uliopita man Utd walikuwa na beki ya 3 kwa ubora pale Epl give Maguire Credit man. Msimu wa 2018/19 tulifungwa goli 54, msimu uliopita tumefungwa goli 39 tu. For comparison zaidi ya mara 6 ambapo Fergie amechukua ubingwa Epl alifungwa zaidi ya Goli 39. Beki yetu bado ina matatizo ila ime improve sana, na Sababu ni Maguire.

Nani anakumbuka Beki yetu kabla ya Maguire? Ikiwa kona ama Foul roho inakuwa juu juu muda wowote tunafungwa, tulikuwa tuna Concede sana magoli ya set piece, je sasa hivo tupoje? Maguire hajatu improve?

Ighalo hajasajiliwa na pia hajaletwa kupokonya namba ya Mtu yoyote pale United, amekuja kuhakikisha striker wetu wanapata mapumziko ya kutosha, cup games zote ambazo sio muhimu amecheza yeye. Na hizo mechi jamaa amefanya vizuri tu cup competition zote tumefika Nusu.
-Europa league kaanza mechi 3 ana goli 2 na Assist 1
-Fa cup kaanza mechi 3 ana Goli 3

Mtu alieanza mechi 6 tu na Goli 5 na Assist moja unaanza vipi kumuita amefeli?

Na james vile vile hajakuja United kuwa Rashford ama Fernandez, jamaa ana speed na anajituma, mechi za kupaki basi ni mbaya na mechi watu wakifunguka anafanya vizuri.
Mkuu,

With Maguire (Captain)& Bissaka (tumewanunua kwa pauni mil 130) kwenye defence tumeshafungwa magoli 11 kwenye mechi 3 (average almost 4 goals) na kumbuka Brighton waligongesha mwamba mara 5

Na timu tulizocheza nazo ni Brighton,Crystal Palace,Spurs (ya Mourinho) na still bado unaona defence yetu ime-improve ?



Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,

With Maguire (Captain)& Bissaka (tumewanunua kwa pauni mil 130) kwenye defence tumeshafungwa magoli 11 kwenye mechi 3 (average almost 4 goals) na kumbuka Brighton waligongesha mwamba mara 5

Na timu tulizocheza nazo ni Brighton,Crystal Palace,Spurs (ya Mourinho) na still bado unaona defence yetu ime-improve ?



Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Hili swali nishachoka kulijibu wakuu, fitnes fitnes fitness sijui tuongee mara ngapi, ipe timu hata mechi 5 au 10 ujue kama ni magarasa
 
How fitness ina-affect defence tu sio foward?

This season tutafungwa magoli mengi sana mark this, ntakukumbusha



Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Kiongozi relax. Hata hao fowarders bado hawafungi. Generally performance ya timu so nzuri mpaka sasa, yawezekana ni coarching problems au kingine chochote, ila seems it is a temporal problem to be fixed soon. Ukiona umecheza na kuzidiwa possession na timu inayofundishwa na Mou, hapo defense haiwezi laumiwa peke yake.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Hili swali nishachoka kulijibu wakuu, fitnes fitnes fitness sijui tuongee mara ngapi, ipe timu hata mechi 5 au 10 ujue kama ni magarasa
Timu zote zinafuata ratiba moja.

Kujipanga ili kua fit ni juu ya timu.

Ni kwa vipi Maguire kumark team mate, kukabia macho kuhusishwe na fitness?

Tufanye kweli ni fitness.

Msimu uliopita akiwa fit alimkimbia Aubameyang. Akawa anamark team mates mpaka akamrukia kichwa Baily na kumpasua.

Hii hoja ya fitness mbona ina matundu
 
Ukitoa mechi na brighton mechi ya palace na spurs forward imefanya nini? Timu nzima ilikuwa down.
Katika mechi 3 tumefunga goli 5 average 1.6goal per game last season tulikuwa na ratio ya 1.73 goal per game so tofauti ni ndogo sana
but tumefungwa 11 average 3.6 per game its the worst with £200m+ defence

Only WestBrom ndio wamefungwa magoli mengi kuliko United (13) na wamecheza mechi 4 while United mechi 3

Hizi ni statistics mbovu sana

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
★Shaw on Alex Telles: "Competition for any team is a must. There is competition for every single spot and you’ve got to be ready for it, work hard and give the manager a decision harder than what he’s had to make before.".★


#GGMU


manutd |
IMG_20201015_211238_374.jpeg
 
Back
Top Bottom