Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Takibiiiir.Hizo fikra zako umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania.
Takibiiiir.Hizo fikra zako umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania.
Milelee AminTakibiiiir.
Siyo anapoteza , kishapoteza tayariAlianza kwa matumaini makubwa. Lakini haya yameanza kumuondolea imani waliyokuwa nayo wengi juu yake mwanzoni
1. Kupanda kwa bei ya mafuta
2. Tozo kwenye miamala
3. Kutangaza wazi kuwa kuna vikundi vya kigaidi nchini kwa kupambana na kuwafungulia kesi za kigaidi wapinzani katika mambo wanayoruhusiwa kufanya kikatiba na kisheria
Tuendako si salama sana.
Kwi kwi kwiSiyo anapoteza , kishapoteza tayari
Ndio adui wa Watz ni CCM lakini huyo Meko alikuwa zaidi ya mshenzi na bora limekufia mbali huko.Ndo mkome kupapatikia watu haraka haraka!
Tuliwaambia adui yenu ni CCM. Siyo Magufuli.
Lakini hamkusikia.
Ndo mkome kupapatikia watu haraka haraka!
Tuliwaambia adui yenu ni CCM. Siyo Magufuli.
Lakini hamkusikia.
Kwa hiyo unataka Saccos ya wachaga tuwape nchi,wataiweza kweli na ulafi ule wa mbowe?Pesa za chama zote anazitafuna peke yake,hata ofisi ya mabati kashindwa kuwajengeaNdo mkome kupapatikia watu haraka haraka!
Tuliwaambia adui yenu ni CCM. Siyo Magufuli.
Lakini hamkusikia.
Waambie viherehere vinawasumbuaNdo mkome kupapatikia watu haraka haraka!
Tuliwaambia adui yenu ni CCM. Siyo Magufuli.
Lakini hamkusikia.
Hizo fikra zako umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania.
Aliwahi kuwa na mvuto tangu liniAlianza kwa matumaini makubwa. Lakini haya yameanza kumuondolea imani waliyokuwa nayo wengi juu yake mwanzoni
1. Kupanda kwa bei ya mafuta
2. Tozo kwenye miamala
3. Kutangaza wazi kuwa kuna vikundi vya kigaidi nchini kwa kupambana na kuwafungulia kesi za kigaidi wapinzani katika mambo wanayoruhusiwa kufanya kikatiba na kisheria
Tuendako si salama sana.
Mtaimba Nyimbo zooote.... ! Aliacha Lini Kuupiga Mwingi? Mtori ndivyo Ulivyo.. nyama zipo Chini tuendelee kula.
Hakuna jambo la maana hata moja alilolifanya tangu awe rais.Alianza kwa matumaini makubwa. Lakini haya yameanza kumuondolea imani waliyokuwa nayo wengi juu yake mwanzoni
1. Kupanda kwa bei ya mafuta
2. Tozo kwenye miamala
3. Kutangaza wazi kuwa kuna vikundi vya kigaidi nchini kwa kupambana na kuwafungulia kesi za kigaidi wapinzani katika mambo wanayoruhusiwa kufanya kikatiba na kisheria
Tuendako si salama sana.
😆😆😆😂😂😂Milelee Amin