Ghafla bin vuu mambo yakabadilika. Akasema hataki kodi za Dhulma.akaja na kodi za wizi, akasema atakaa na wapinzani kuweka mambo sawa ghafla kutwa nzima anawawinda kwa mitutu na Marungu.
Akasema unyanyasaji kwake mwiko mbona sheria mbovu hataki zirekebishwe??
Nani alimwambia Rais Samia kuwa kunyanyasa watu kutampa mafanikio?
Nani alimwambia Rais Samia kuminya uhuru wa maoni na kuweka misingi ya demokrasia uwazi na uwajibikaji kuaa atatoboa?
Nani anamdanganya?
Nani anamtumwa kwamba akidhibiti watu kwa mkono wa chuma nchi itasonga mbele?
Je Magufuli mtangulizi wake aliyetawala nchi kama yake alifanikiwa?
Uganda na Rwanda wamefanikiwa? vipi Somalia na Sudani wamefanikiwa?
Kenya je?
Mama unajidanganya. Fanya wajibu wako. Hao unaotaka kuwafurahisha watakufurahisha siku moja hutaaamini.
Akasema unyanyasaji kwake mwiko mbona sheria mbovu hataki zirekebishwe??
Nani alimwambia Rais Samia kuwa kunyanyasa watu kutampa mafanikio?
Nani alimwambia Rais Samia kuminya uhuru wa maoni na kuweka misingi ya demokrasia uwazi na uwajibikaji kuaa atatoboa?
Nani anamdanganya?
Nani anamtumwa kwamba akidhibiti watu kwa mkono wa chuma nchi itasonga mbele?
Je Magufuli mtangulizi wake aliyetawala nchi kama yake alifanikiwa?
Uganda na Rwanda wamefanikiwa? vipi Somalia na Sudani wamefanikiwa?
Kenya je?
Mama unajidanganya. Fanya wajibu wako. Hao unaotaka kuwafurahisha watakufurahisha siku moja hutaaamini.