Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,808
- 11,973
Wadau mpaka sasa nasikia CCM baadhi ya majimbo imesimamisha wagombea pekee baada ya wagombea wa vyama vingine kutokidhi baadhi ya vigezo.
Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua.
Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.
Updates
1. Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM imesimamisha wagombea pekee katika Majimbo 6
- Jimbo la Kilosa
(Prof Kabudi)
- Jimbo la Gairo
Ahmed Shabiby
- Jimbo la Mvomero
Jonas Vanzland
- Jimbo la Morogoro kusini
Innocent Kalogeris
- Jimbo la Morogoro kusini mashariki
Hamis Taletale (Babu Tale)
- Jimbo Morogoro Mjini
AbdulAziz Abood
2. Mkoa wa Katavi
- Jimbo la Kavuu
Geophrei Mizengo Pinda
- Jimbo la Mlele
Aloyce Kamwelwe
3. Mkoa wa Mwanza
- Jimbo la Misungwi
Alexander Mnyeti
- Jimbo la Kwimba
Shanif Mansoor
4. Mkoa wa Lindi
- Jimbo la Ruangwa
Kassim Majaliwa
- Jimbo la Mtama
Nape Nnauye
5. Mkoa wa Shinyanga
- Jimbo la Ushetu
Elias Kwandikwa
6. Mkoa wa Dodoma
- Jimbo la Kongwa
Job Ndugai
- Jimbo la Chamwino
Deo Dejembi
- Jimbo la Kondoa mji
Ally Juma Makoa
- Jimbo la Kondoa Vijijini
Dkt. Ashatu Kijaji
- Jimbo la Dodoma Mjini
Anthony Mavunde
- Jimbo la Mpwapwa
George Malima
7. Mkoa wa Ruvuma
- Jimbo la Namtumbo
Vita Kawawa
8. Mkoa wa Mbeya
- Jimbo la Ludewa
Joseph Kamonga
9. MKoa wa Songwe
- Jimbo la Vwawa
Japhet Hasunga
10. Mkoa wa Tanga
- Jimbo la Bumbuli
January Makamba
Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua.
Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.
Updates
1. Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM imesimamisha wagombea pekee katika Majimbo 6
- Jimbo la Kilosa
(Prof Kabudi)
- Jimbo la Gairo
Ahmed Shabiby
- Jimbo la Mvomero
Jonas Vanzland
- Jimbo la Morogoro kusini
Innocent Kalogeris
- Jimbo la Morogoro kusini mashariki
Hamis Taletale (Babu Tale)
- Jimbo Morogoro Mjini
AbdulAziz Abood
2. Mkoa wa Katavi
- Jimbo la Kavuu
Geophrei Mizengo Pinda
- Jimbo la Mlele
Aloyce Kamwelwe
3. Mkoa wa Mwanza
- Jimbo la Misungwi
Alexander Mnyeti
- Jimbo la Kwimba
Shanif Mansoor
4. Mkoa wa Lindi
- Jimbo la Ruangwa
Kassim Majaliwa
- Jimbo la Mtama
Nape Nnauye
5. Mkoa wa Shinyanga
- Jimbo la Ushetu
Elias Kwandikwa
6. Mkoa wa Dodoma
- Jimbo la Kongwa
Job Ndugai
- Jimbo la Chamwino
Deo Dejembi
- Jimbo la Kondoa mji
Ally Juma Makoa
- Jimbo la Kondoa Vijijini
Dkt. Ashatu Kijaji
- Jimbo la Dodoma Mjini
Anthony Mavunde
- Jimbo la Mpwapwa
George Malima
7. Mkoa wa Ruvuma
- Jimbo la Namtumbo
Vita Kawawa
8. Mkoa wa Mbeya
- Jimbo la Ludewa
Joseph Kamonga
9. MKoa wa Songwe
- Jimbo la Vwawa
Japhet Hasunga
10. Mkoa wa Tanga
- Jimbo la Bumbuli
January Makamba
= Orodha zaidi itakujia hivi punde=