Najiuliza tu "HIVI KUNA SEHEMU WA UPINZANI ATAPITA BILA KUPINGWA?"
HIVI HAWA WA CCM WANA UWEZO WA KUJAZA FOMU KULIKO WENGINE!?
Huwezi kushiriki uchaguzi Kwa muda mrefu kama CCM walivyoshiriki na ukashindwa kujaza form, nadhani CCM Wana resources na experience kubwa compared to other parties ambazo to be honest vingine ata ofisi ya kujazia hizo forms hawana..kile kigezo cha kujua KUSOMA na KUANDIKA kitawaangusha wengi Sana..but I still believe NEC wako strictly Sana Kwa wapinzani kuliko wagombea wa CCM but still sio excuse ya wapinzani kuwa reckless katika kufuata maelekezo.

Mpinzani kushinda have to be really on point bila dosari yoyote. Wanahitaji kuwa na usaidizi Mpana WA wanasheria ambao unfortunately they don't come cheap especially kipindi hiki.
 
Ha ha inashangaza sana.
Kwanini NEC wasitoe mafunzo maalumu ya ujazaji hizo form kabla ya zoezi wa ujazaji kuanza kwa uwazi na haki kabisa?
Yaani utafikiri lengo ni kupata mjazaji fomu bora, jamii inahitaji zaidi ya mjazaji fomu.

Wengine wanatekwa, wengine wanabambikwa kesi na wengine wanakataliwa kurudisha fomu, wengine wanapokea vitisho ili tu chama fulani kishinde.

Kisha utamsikia mwenyekiti wao, 'tutamngulize Mungu kwa kila jambo'. Naona wanambeep Mungu kwa kulitumia jina lake kufunika maovu yao, wacha tuone.

Bado tuna safari ndefu kama taifa, kujificha kwenye hila za kipuuzi namna ile then watu wanaamini hiyo serikali ina nia ya dhati ya kulipeleka taifa mbele.
 
*MAJIMBO 18*
*HADI MUDA HUU MAJIMBO HAYA WAGOMBEA WA CCM WAMEPITA BILA KUPINGWA*

1. Misungwi
2. Ruangwa
3. Ushetu
4. Morogoro Mjini
5. Mtama
6. Mvomero
7. Kilosa
8. Gairo
9. Kongwa
10. Namtumbo
11. Kavuu
12. Katavi
13. Morogoro Kusini
14. Chamwino
15. Kondoa
16. Mpwapwa
17. Vwawa
18. Dodoma Mjini

Hiki ni kisulisuli, subirini tufani inakuja Oktoba.
 
BREAKING

Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa 6

1.Kilosa (Prof Kabudi)

2. Gairo (Ahmed Shabiby)

3. Mvomero (Jonas Vanzland)

4. Morogoro kusini (Innocent Kalogeris)

5. Morogoro kusini mashariki(Babu Tale)

6 Morogoro Mjini (Abood)

................
 
Huwezi kushiriki uchaguzi Kwa muda mrefu kama CCM walivyoshiriki na ukashindwa kujaza form, nadhani CCM Wana resources na experience kubwa compared to other parties ambazo to be honest vingine ata ofisi ya kujazia hizo forms hawana..kile kigezo cha kujua KUSOMA na KUANDIKA kitawaangusha wengi Sana..but I still believe NEC wako strictly Sana Kwa wapinzani kuliko wagombea wa CCM but still sio excuse ya wapinzani kuwa reckless katika kufuata maelekezo... Mpinzani kushinda have to be really on point bila dosari yoyote. Wanahitaji kuwa na usaidizi Mpana WA wanasheria ambao unfortunately they don't come cheap especially kipindi hiki.
Mkuu umewahi kuiona fomu ya ugombea? Hapa utawalaumu wapinzani bure, yaani mtu aliyekuwa mbunge kipindi kilichopita asiweze kuambatanisha passport size?

Ukiangalia hizi kasoro ni za kutengeneza, sasa mfano picha msimamizi akiinyofoa si ndio basi tena? Au mtu anapokea fomu kisha anaongeza maneno kwenye taarifa za mgombea kisha anamuengua.
 
BREAKING

Mkoa wa Morogoro una Majimbo 11 hadi sasa CCM Imepita bila kupingwa 6

1.Kilosa (Prof Kabudi)

2. Gairo (Ahmed Shabiby)

3. Mvomero (Jonas Vanzland)

4. Morogoro kusini (Innocent Kalogeris)

5. Morogoro kusini mashariki(Babu Tale)

6 Morogoro Mjini (Abood)

................
Are you sure!?Subiri NEC waseme. Hao ndio wenye goma lao.
 
Hao wakurugenzi wapuuzi wa CCM wala hatuwasikilizi. Narudia tena hakuna muhuni yeyote yule kuanzia waziri mkuu mpaka muhuni wa mwisho kupita kihuni kama walivyofanya. Tutaimba nao kuanzia kesho!
 
Back
Top Bottom