Mkuu tuonane, nasikia harufu ya damu, damuuuuuuu, sijui ni ya kuku au nzi wa kijani.Kawaambieni waendelee kujitekenya hao wapuuzi waliojiambia wamepita bila kupingwa. Safari hii hatutaruhusu upuuzi wa aina hiyo.
Ana mabasi yanaitwa ZeelandVan zeland hii nchi hii
Upuuzi huu
10 kwa 0Upuuzi huu
CCM 10+ CHADEMA 0
Misungwi, Kilosa, Mvomero, Gairo, Mtama, Ruangwa, Moro Mjini, Moro Kusini
Haya kafanye sherehe sasa.10 kwa 0
Haya hongera kwa bao la mkono.CCM 10+ CHADEMA 0
Misungwi, Kilosa, Mvomero, Gairo, Mtama, Ruangwa, Moro Mjini, Moro Kusini
If A = B and B = CWadau mpaka sasa nasikia CCM imeshachukua majimbo nane, namaanisha wamepita bila kupingwa. Yaani kabla ya hata ya kitufe kubonyezwa majimbo yafuatayo wapinzani wamenyanyua mikono na CCM wanayachukua labda wagombea waage dunia.
1. Misungwi,
2. Ruangwa,
3. Ushetu,
4. Morogoro Mjini,
5. Mvomero,
6. Kilosa,
7. Mtama,
8. Gairo
Karibuni tuweke kumbukumbu za clean sheets hapa.
Tutashuhudia mengi mwaka huu. Maana hata Tundu Lissu atapata kura chache sanaUpuuzi huu
Ha ha inashangaza sana.Cha ajabu yale 'mazwazwa' ya ccm eti ndiyo yanaweza kujaza kwa usahihi.
Mwenyekiti wako kajaribu kumuengua Lissu kimizengwe ila usalama wamemuambia asicheze na Lissu nchi itapinduka juu-chini.Tutashuhudia mengi mwaka huu. Maana hata Tundu Lissu atapata kura chache sana.