Unajua mambo mengine msiwe mnachukulia kirahisi rahisi, wakti kuna hoja NZITO
Kilitime ....hivi ulishawahi kusoma maelezo ya Prof Shivji kuhusiana na hoja ya Mh Zitto na kweli ukaona JK kajibu hoja inayompatia umaarufu Mh Zitto!!!!......................sijui kaijibiwa wapi....................hebu tufungue macho niwapi alipoijibu
Hivi ulimsikiliza Kikwete,,, mkataba umeuona,,, unaweza kutuwekee kipengele ambaco kimeenda tofauti na sheria iliyoko sasa?
Kilitime......unapaswa kuelewa hii vita yetu........tunataka Mikataba yenye manufaa Kwa taifa iwe wazi at least wabunge wetu wakihitaji kuiona na waione...............kwani wale ndio wawakilishi wetu.
Kweli kabisa na rais amesema anaomba hiyo tume itakayokuwa inasheheni wataalamu na upande wa upinzani ulilete hiyo formula mpya,,, iliyopo ndio aliyotumia waziri,,, so no wrong doing otherwise please leta hapa!
Kilitime........yes Waziri hana mamlaka ya kubadili mkataba......hivi Karamagi alifanya nini kule Uingereza with his "Ball Pen"
Nimesema waziri hana mamlaka ya kutoa kodi au kuongeza kodi kwa mwekezaji yeyote, zote lazima zitoke kwenye sheria ya madini au ya fedha... full stop... in other words waziri hana power ya nkunegotiate... hili ndilo alilosema Rais. Ni kodi gani ambayo Mwekezaji amesamehewa na Waziri wakati iko kwenye sheria,,, ilete hapa tuchambue?
Noo man !..................................JK naona ni mpole sana hata kuliko Mwinyi na Mkapa
Hii nakubaliana nayo, kwani alishasema katika mambo anayo-regret ni kumwonea mtu... naye hakupenda kumuadhibu Karamaji kwa kosa la bunge kutunga sheria mbaya,,, does it make sense to you... waziri awajibike kutekeleza sheria ya bunge kama ilivyo....
Hivi kweli inaingia akilini only 1.9% (FD reported) ndio mchango wa madini ktk pato la Taifa!!!???
Mzee Rais alisema kwamba mchango wa Madini kwenye Pato la Taifa ni 1.9%,,, lakini kwenye suala la foreign currency ni asimilia nyingi kidogo sikumbuki kama alitaja numba kamili,,, lakini kama una-another source yenye authority ya hiyo information ambayo itakuwa tofauti na hii tuletee!!! simple
Hivi lile neno la kumuwajibisha mtu kwa manufaa ya umma liliishia wakati wa Rais Mwinyi tu na haliko tena ktk lugha yetu!!....................ina maana hivi sasa ndio tuna viongozi Safi sana kuliko wakti ule eehh!!........................siku hizi akina Karamagi wanapeta tu!!
Kumuwajibisha mtu kwa manufaa ya umma lipo,,, lakini sharti uwe na mkosaji...
Anyway...........we have a long way to go kama hata sisi hapa JF tutakuwa tunakubali majibu rahisi rahisi namna hiyo
Sure we do! especially kama sisi tunabeba mambo juu juu tu!!! kosa la bunge unamwazibu waziri, kosa la waziri unamwazibu kilitime...