Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
Hakuna mwanasiasa anyeweza kukubali hadharani kuwa anasumbuliwa na wapinzani, lakini kama nilivyosema nimemuona mwenye uso kwa uso, na unajua uso huwa hausemi uongo!
Mkuu FMES,
Wakati mwingine nikisoma maneno yako nashawishika kuamini kuwa Kikwete is about to do something. Ila kadri muda unavyokwenda ninakubaliana na ulichosema hapo juu kuwa the guy is resigning to his fate.
Kama hii ni kweli, kwa nini asizuie huu ukaripitalization wa nchi yetu kwa kuzuia nchi hii isiendelee kuuzwa zaidi?