Nakuuliza ushawahi kuona sabaya kanyoa upara?
Wewe ni pimbi, mambo ya kunyoa yameingiaje hapa, nilichosema Sabaya yupo jela hata sasa ninavyoandika hapa amerudi kama mahabusu.
Inaonekana kiingereza kinakupiga chenga, haya basi ameenda nyumbani
 
Mbowe out, Sabaya out...
Acha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.

Sabaya si wa kwanza kupanguwa kesi, magerezani kuna watu wana kesi kibao wanapanguwa lakini moja lazima unyooshwe.

Nakuhakikishia Sabaya ajiandae na kukata rufaa ya pili. Tunza hii comment muda si mrefu utakuja kulifukuwa hili kaburi.
 
Acha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.

Sabaya si wa kwanza kupanguwa kesi, magerezani kuna watu wana kesi kibao wanapanguwa lakini moja lazima unyooshwe.

Nakuhakikishia Sabaya ajiandae na kukata rufaa ya pili. Tunza hii comment muda si mrefu utakuja kulifukuwa hili kaburi.
📌📌📌📌📌📌📌📌
 
Kesi ya uhujumu uchumi kifungo chake hakizidi miaka y mitano kama sijakosea.Kwa Sabaya kupangua hii kesi ni ushindi mkubwa sana kwake hata kama ya uhujumu uchumi atashindwa.
Acha iwe shangwe lakini najua ni lazima iambatane na funzo
 
Back
Top Bottom