Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,993
- 33,637
Kajitundikie ufe
Kajitundikie ufe
Mnasema kosa lake kubwa ni kuwabaka?Sawa mke wa sabaya mumeo anarudi leo muandalie kipochi manyoya hicho
Mahakama haiwezi kumfufua!Ni roho mbaya tu za watu kutaka jamaa azidi kuteseka zaidi wakati mateso anayopitia saizi bado yamekuwa too heavy to handle
Nina noma kama mhakama itatoa kibali cha kumfufua yule kibopa
Swadakta, tena mwenendo wa kesi hii ndio umemkalia vibaya sana kwa mujibu wa mtiririko wa mashahidi.Kumbe hiyo miaka aliyopangua leo ni kama bonaza afu hiyo 30 ambayo bado ni kama jackpot
Lakini Leo anaenda kuvunja amri ya sita na mkewe nyumbani kwakeSawa hata akiachiwa huru Bado yupo na kesi nyingine sita ikiwemo ya kukata watu masikio
Acha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.
Sabaya si wa kwanza kupanguwa kesi, magerezani kuna watu wana kesi kibao wanapanguwa lakini moja lazima unyooshwe.
Nakuhakikishia Sabaya ajiandae na kukata rufaa ya pili. Tunza hii comment muda si mrefu utakuja kulifukuwa hili kaburi.
True na jela ni kwa ajili ya watu masikini wasio na pesa au jinaTanzania kuna kaufala fulani😲😲😲😲
Vipi ?Na usishangae akitoka akawafanyizia waliotoa ushahidi kwenye kesi yake, na wasifanywe lolote hata serikali ikijua.
Kama ni kijiwe kimejaza mataahira ya ufipa hama hapoKuna mtu nilimwambia mda sanaa akanibishia, nimeelewa kile kijiwe sio level yangu
Atakua salama na amani tele, watz ni keyboard worriors tu....bashite na mambo yake yote yupo mtaaniKwa uhuni aliowafanyia watu, huko mtaani sijui kama atakuwa salama
Kosa la sabaya mlisema aliwabaka?Wazungu huwa wanamsemo mmoja kuwa Negroes hawawezi kujiongoza wenyewe
Nimeanza kuwaamini.
Kwa funzo hilo ameshalipata tena kubwa sana,ameuona upande wa pili wa maisha unavyokuwaga nnje ya madaraka.Acha iwe shangwe lakini najua ni lazima iambatane na funzo
Wewe ni mkewe mpaka ujue anayopitia?Ukiachana na mabishano yetu haya trust me, mi na wewe wote hakuna anaye wish awe na moment kama ya makonda anayopitia saizi
Sina hakika ila nafikiri nafasi yako hii uliyonayo wewe ambayo inakuweka katika furaha na amani , mwenzako huko anaikeshea kwa kuomba na kusali aje kuipata
mbona katiba sasa hivi wala haisikiki? tunaishi kutokana na matukio hilo ueleweKazi iendelee!
=====
Suala la bei ya mafuta lipo pale pale. Hakuna kuyumbishwa.
Ccm ni wajanja hawalingani kabisa na chama la magaidi lile!Mmhhh, hukumu ya rufaa ilipangwa kabla ya mafuta kupanda, wala haina mahusiano na mjadala wa bei ya mafuta. Haya maneno ndio ccm huyatumia kujifanya ni wajanja kumbe upuuzi mtupu.
Punguza hasiraAcha upotoshaji mkuu, Sabaya yuko jela, na akipatikana na hatia kwa kesi ya uhujumu uchumi ni nyundo 30 nyingine.
Sabaya si wa kwanza kupanguwa kesi, magerezani kuna watu wana kesi kibao wanapanguwa lakini moja lazima unyooshwe.
Nakuhakikishia Sabaya ajiandae na kukata rufaa ya pili. Tunza hii comment muda si mrefu utakuja kulifukuwa hili kaburi.
Mpumbavu wewe na wenzio, sisi Wananchi wengine siyo wapumbavu.Kwa sababu wanachi ni wapumbavu