Je wajua mwanza ndio mkoa wenye kiasi kikubwa cha maji kuliko mkoa wowote hapa tz na singida ndio mkoa mkame kabisa

Hii hapa siyo sahii.

Mkoa wenye maji mengi hapa Tanzania ni mkoa wa Pwani.

Mkoa wenye maji baridi mengi hapa Tanzania ni mkoa wa Kagera. Kabla Geita haijamegwa kutoka Geita haijamegwa kutoka Mwanza, mkoa wa Mwanza ulikuwa na maji baridi mengi kuliko mikoa yote.

Pwani inaongoza kwa kuwa na maji mengi kwa sababu ya eneo kubwa la bahari lililopo chini yake!!!
 
Je wajua urusi ndio inchi pekee yenye eneo kubwa kuliko inchi yoyote dunia,,yenye km[sup]2[/sup] 17,098,242 ,,,land ikiwa km[sup]2[/sup] 16,377,742 na eneo lililokaliwa na maji ni 720,500,,,,,,,chakushangaza sasa bado anaingangania na crimea.
 
Je wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?

cha ajabu kitu gani.? kwani dar es salaam ina wakazi wangapi.? je shule za kidato cha sita zipo ngapi.? ukishajua hayo utaona hilo la kawaid sna kwa tz.
 
mabara duniani yapo? rangi kwenye pinde ya mvua zipo? siku za wiki?maajabu ya dunia?matundu katika mwili wa binadamu? jani la mmea wa ajabu ban.ge limegawanyika mara?falme saba ,mbingu saba,aliumba dunia na kupumzika siku ya? NAWASILISHA

Huenda una pointi au una wazo zuri unataka kutushirikisha' lakini uwasilishaji wako ndio kitendawili!! Ebu tulia alafu tudadavulie tukuelewe kiongozi.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom