Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Je wajua kuwa wanawake wakiwa kwenye hedhi wana uwezo mkubwa wa kuhisi uwepo wa Nyoka.
Mh!!
Ya kweli haya?
Je wajua kuwa wanawake wakiwa kwenye hedhi wana uwezo mkubwa wa kuhisi uwepo wa Nyoka.
Je wajua mwanza ndio mkoa wenye kiasi kikubwa cha maji kuliko mkoa wowote hapa tz na singida ndio mkoa mkame kabisa
Hii thread ilikuwa nzuri lkn watu wanaichafua kwa ushabiki wao wa kijinga..na pia mtu analeta kitu cha kipuuzi kabisa tena kisicho na mashiko.
Je wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?
Je wajua kuwa aliwazalo mtu mweusi kwa sasa (yaani mtu mzima) ndilo aljwazalo mtoto wa kizungu?
msicheke labda kweli je,Je wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?
Je, unajua kwamba tangu kuumbwa kwake Ulimwengu(Universe) una umri wa zaidi ya miaka 17 billioni!
hizi zingine fixJe wajua mwanaume akianza kutembea anaanza mguu wa kushoto na mwanamke anatanguliza mguu wa kulia...
Kama hujui chukua na uanze kufanya research yako.