JamiiForums Usiku wa manane
Nimetafuta hizo review group Whatsap na telegram sijapata ni nzuri sana zinatoka motisha kusoma.

Kuna moja nilipata nikakuta ya watoto wanaopenda fiction stories ni vitoto tu nikaona hawa siwezani nao.
Yaani kusoma vitu ambayo havina uhalisia ilinishinda nikatoka.
LiiMkuu Tina book club kabisa. Wananunua vipya then tunapewa. Tinapewa muda wa kumaliza page kadhaa. Halafu inapangwa siku ya kujadili hizo page. Nitasubiri kwa hamu. Napenda sana kusoma books ila muda ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
22:30 mida ya kazi, mpo poa wadau?
 
Back
Top Bottom