JamiiForums Usiku wa manane
Lii
Mbona hata intro ni nzuri sana kinatoa motisha ya kuendelea.
Nitakusimulia mkuu maana najikuta naflow tu
Mkuu Tina book club kabisa. Wananunua vipya then tunapewa. Tinapewa muda wa kumaliza page kadhaa. Halafu inapangwa siku ya kujadili hizo page. Nitasubiri kwa hamu. Napenda sana kusoma books ila muda ndio tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom