Naona pepo la umaskini limenivaa maana si kwa kusinzia huku! Dua zenu tafadhali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoro sugusimiss Chikwuemeka, Rory, Rowin, COSMOLOGIST, chiqutitta, Zurri, ningendako, Super Villain, Demi, Bradha, Frankestain
Nimewamiss mje mkeshe jaman
Unakuja unakata.Usingizi umekata kabisa
[emoji15] maulid saiz?Wewe hujaalikwa maulid? Maana jamaa zako hapa wana maulid wamenifanya niwe mlinzi wa kujitolea leo.
Ila si mbaya mcha
Wewe hujaalikwa maulid? Maana jamaa zako hapa wanakesha wamenifanya niwe mlinzi wa kujitolea leo.
Kaka hivi hili jina lako carbamazepine linatamkwaje ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio kaka mkuu
Mbona kama watu walishafungua gate toka saa 2300 huko.0000-GATE OPEN.....
[emoji15] maulid saiz?
Kaka hivi hili jina lako carbamazepine linatamkwaje ?
Nimecheka hadi kupaliwa..[emoji23][emoji23]Mimi sio kaka mkuu
Nipo mdogo wangu, hujambo?Nawe sijakuona siku hizi mbili tatu,, nimekuulizia kule kwenye uzi wa kupeana likes sijapewa jibu la kueleweka afadhali nimekuona huku mwenyewe..
Thank you friend..[emoji8][emoji8]Happy Women's Day to all Lady's