Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Wapi MO?bado dakika 7 tufunge geti
Wapi MO?bado dakika 7 tufunge geti
mkuu MO tena...Wapi MO?
hujalala??bado dakika 7 tufunge geti
ndio nataka nilale angalau saa1hujalala??
nitastream online usiku wa keshoKaribuni tunaangalia NBA
Sawa...mkuu mimi bado..ndio nataka nilale angalau saa1
basi nikutakie alfajiri njema.Sawa...mkuu mimi bado..
Shukran..basi nikutakie alfajiri njema.
Hujaacha tu kukandamizia?
Ayyaaaaaaa,unaniharibia aisee......
HahahahaHapa nilitaka nilete zile za "french" ule mchezo wa draft yaani nakula navyotaka....
MmmhHakuna cha mafuriko wala nini
Mimi flat screen jombaa..hiyo avatar tu
04:43Mi saa ngp huko?
Hiyo ndoa ilifungiwa kanisa gani?![]()
Alamsik Mrs Miller.
Hiyo ndoa ilifungiwa kanisa gani?![]()
Mbona hili jambo kila mtu analiongea, lisemwalo lipo kama halipo laja so jiandae kulipokea
Kama ni kweli semeni tuache kumtania tania Bbade. Ameaga hapo juu kuwa anakwenda kulala nikamtania kuwa aniote akajibu kwa emoji ya vilio. Isije kweli ikawa tunawakwaza watu humu ohoo !!!
Kanisa la kwanza la Orthodox huko Ethiopia mnamo karne ya 6AD.
Sure
Kweli kabisa hata Mimi niseme na Ngedele wangu..
Ticha unaumwaa?