Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Haijaingia, imeingizwa.Jamani hii mada ya vita baridi imeingiaje hapa?
Kiswahili kigumu sana.
Haijaingia, imeingizwa.Jamani hii mada ya vita baridi imeingiaje hapa?
Dawa ya baunsa kiwembe.![]()
![]()
![]()
Vijana huwa wanakamsemo kao "dawa ya baunsa kiwembe" kwaiyo hizo tambo huenda zikawa kweli sio mikwara.



Hahaha ila usimdharau Kim huenda ana silaha za siri za maangamizi.
Nishamwambia, hatupo tayari kwenda Jail ndugu na jamaa wanatutegemea
Hee ina maana nimebaki mwenyewe na nyie? Naondoka zangu maana mnanitisha na maneno yenu ya kivitavitaKama alizokuwa nazo Saddam?
Ila kaTariq Azziz kalikuwa kananikosha sana kwa mikwara![]()
Nimemkumbuka Zuhura Yunus.Lala unono
Moyo wako umeupeleka wapi?Wanaume wenye ugly face ndio ugonjwa wangu, nigekuwa bado nina moyo ningekusaka popote ulipo
Alamsik Mrs Miller.Naaga...lindo jema
Vyovyote iwavyo, imeingizwa na nani hapa?Haijaingia, imeingizwa.
Kiswahili kigumu sana.

Hana mitambo sasa ya kurusha silaha hizo ila US ana automated machine yaan ni God given.Hahaha ila usimdharau Kim huenda ana silaha za siri za maangamizi.
Bakia kidogo bana. Unakwenda wapi?Hee ina maana nimebaki mwenyewe na nyie? Naondoka zangu maana mnanitisha na maneno yenu ya kivitavita
Nimemkumbuka Zuhura Yunus.


nikuambie i'd yake umtumie PM?Mkuu unanikumbusha nyumbani...Dah !!!Hana mitambo sasa ya kurusha silaha hizo ila US ana automated machine yaan ni God given.
Ukizaliwa usukumani tu utawapa tabu sana watu maana samli, michembe, mbute, ugali wa mhogo, sangara, sato n.k sio vitu vya mchezomchezo muulize Shimba YA BHUYENZE
Hiyo ndoa ilifungiwa kanisa gani?Alamsik Mrs Miller.

Basi acheni kuniogopesha kwa mada yenu ya vitaBakia kidogo bana. Unakwenda wapi?
Hee ina maana nimebaki mwenyewe na nyie? Naondoka zangu maana mnanitisha na maneno yenu ya kivitavita
Hilo nalo neno kaka maana unaweza kula wachuya kweupeMtandaoni humu mkuu akili za kuambiwa changanya na zako...Always![]()
Matokeo akipona lazima amuimbishe kale kajimbo cha wahenga.Dawa ya baunsa kiwembe.
Nimeupenda huu msemo japo sipati picha baada ya kumcharaza baunsa kiwembe inakuwaje![]()



niliwapa wakaurarua na kunitupia ukiwa vipande vipande