JamiiForums Usiku wa manane
Tupangie tu tarehe nyingine ya kesi. Ntamganda Ice mithili ya luba hadi aombe msamaha. Naweza kuleta hapa post zote kwenye ule uzi wa Dina alivyokua anajiachia kama uchebe hadi watu wanambembeleza awatajie mganga wake...mnakumbuka alivyoshtuka baada ya kuona Ney kaibuka? Ila binti nae ana roho ngumu yule utafikiri alqaeda.
eti kama uchebe
 
Back
Top Bottom