Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
Safi chief, za kupotea?Boss aje aje
Safi chief, za kupotea?Boss aje aje
Kwani ulikwepo? Ha ha ha haaaaaaaaNasi tunakushukuru pia[emoji23]
Na yuko pembeni ako hapo. Anakutazama tuMkuu sio uoga..
mtu gani anatembea na wala haonekani
Nasikia kama wanafungua fridge..hahaha
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] you such a dear. To deserve someone better,like him.
Do not deserve us again...
Luv you
Unataka umuone umwambie nn, wee kuwa busy tu wakihitaji kitu kutoka kwako utawaona tu...Mkuu sio uoga..
mtu gani anatembea na wala haonekani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasikia kama wanafungua fridge..
Embu ngoja niende.. wasije wakanitia hasara soda zangu bure wakazinywa
Brother imekuwa Kama movie kumbe sikuepo real[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yeah man!Oooh! I've got a brother oo![emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hii siku imekuwa njema sana kwangu leo....thank you brother, am humbled [emoji4][emoji4]
Brothers [emoji123][emoji123]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shahidi nitamuita kotini hali,yake ikitengamaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ungeona nilivyogeuka pembeni haraka..Na yuko pembeni ako hapo. Anakutazama tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ungeona nilivyogeuka pembeni haraka..
Nimekagua kona zote za chumba hahahhhh...
My humble girl! I thank all of them tooAsanteni nyote mliojaribu kuniombea msamaha kwa namna moja au nyingine, Mungu akawawekee mkono katika mahusiano yenu mkayashinde majaribu na vikwazo ili mfike salama katika safari yenu. Nimefarijika sana kunionyesha upendo wa dhati kwa kutaka niwe na amani. Mungu awabariki sana. Usiku mwema nyote.
Hamna mkuu sikuwepo on air. Kazi nimefukuzwa hata kabla sijaanza itakuwa huyu carbamazepine kaleta zengwe.Wee jamaa nimekufuta kazi. Nilitaka nione kiwango na umahiri wako kwenye hii kesi, umejichimbia unachungulia tu inavyounguruma hautii hata like achilia comment.
Ntajisimamia mwenyewe kesi yangu endapo Thad ataamua kuipeleka mbele
Pumzika dada yangu[emoji42][emoji42][emoji42]
Usiku mwemaPumzika dada yangu
Ulale unono[emoji42][emoji42][emoji42]
Nawe piaUlale unono
YeahMumu deserve you