JamiiForums Usiku wa manane
Asanteni nyote mliojaribu kuniombea msamaha kwa namna moja au nyingine, Mungu akawawekee mkono katika mahusiano yenu mkayashinde majaribu na vikwazo ili mfike salama katika safari yenu. Nimefarijika sana kunionyesha upendo wa dhati kwa kutaka niwe na amani. Mungu awabariki sana. Usiku mwema nyote.
My humble girl! I thank all of them too
In the end they all love us
 
Wee jamaa nimekufuta kazi. Nilitaka nione kiwango na umahiri wako kwenye hii kesi, umejichimbia unachungulia tu inavyounguruma hautii hata like achilia comment.

Ntajisimamia mwenyewe kesi yangu endapo Thad ataamua kuipeleka mbele
Hamna mkuu sikuwepo on air. Kazi nimefukuzwa hata kabla sijaanza itakuwa huyu carbamazepine kaleta zengwe.
 
Back
Top Bottom