JamiiForums Usiku wa manane
Braza ni wapi nilimuita D baby pale? Halaf baby gani tunatajwa watu watatu eti. Ike ishu hata haikuwa siriaz

Unajua kuwa Ney ndiye alimuita jose baby kule?
Jaman mi spendi niseme mengi humu


Braza siamini kama uko upande wa Ney.
Sipo upande wa Ney nimeangalia msamaha wake.
Amekibali kukosea sitegemei arudie
 
Kakaaaaa sikushauri ujiingize huku,yule mtu atapata wasiwasi. Huoni yeye hajiingizi kabisa huku kaka
Wala sijiingizi mm, ila Ney na yy ameharibu...jana tulimwambia ss, nakumbuka nilimQuote nkamwambia hoja yake haina mashiko hahaha ss hapa leo kwa mdogo kweli

Acha apambane....brother ICE kaza hivyo hivyo hadi alie then umbembelezee hatorudia tenaa
 
Digala your honoy naomba Samaritan awe nje ya kesi hii. Ananichekesha sana nashindwa kufanya majukumu yangu

Tupangie tu tarehe nyingine ya kesi. Ntamganda Ice mithili ya luba hadi aombe msamaha. Naweza kuleta hapa post zote kwenye ule uzi wa Dina alivyokua anajiachia kama uchebe hadi watu wanambembeleza awatajie mganga wake...mnakumbuka alivyoshtuka baada ya kuona Ney kaibuka? Ila binti nae ana roho ngumu yule utafikiri alqaeda.
 
Back
Top Bottom