Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,364
Naam mama chacha hujambo? Kumbe ndio zako nikiwa sipoBaba chacha...

Naam mama chacha hujambo? Kumbe ndio zako nikiwa sipoBaba chacha...

Zangu zipi hizo sasa baba chacha na wewe?Naam mama chacha hujambo? Kumbe ndio zako nikiwa sipo![]()
![]()
![]()
![]()





Baby noo, don't go pleaseHapana
Fikiria mi ninge kufanyia wewe hivo.
Yaan mimi nnavo kupenda najua kuna kutiana tiana wivu
Ila ya jana ilivuka mipaka.
Ngoja ninywe dawa hapa ntarud






Wapi huko?Unipitiee
AsichaguePunguza kuchanganyikiwa,unammix shemeji angu baba mdogo chanja. Mara Jose baby Mara baba ake mdogo chanja mupenzi.
Cc Iceman 3D chagua mmoja hapa au Joseverest
AaahNakujali baba ake mdogo chanja,maana kaka ako nae hali mbaya kafungwa Leo. Sina amani,nakupigania shemela
Mama chacha nitakughecha mraaZangu zipi hizo sasa baba chacha na wewe?

Kwenda kanisani baadaeWapi huko?
MmmmI know baby,
Let's talk about it please
HahahahUkisia pah...
Baby last chance please am begin youHapana.
Mungu shahidi
The only woman i call my baby tena mchana kweupe ni wewe.
Wewe si wa kunifanyia hivi.
Yaani kwa huyo wakili wako kesi imewashinda tayari.Kuna muamala nilimtumia, akavunga eti hela ndogo, nimuongezee na ya kutolea. Nikawapigia voda nimekosea namba, ndio bado anagombana na wakala. Kanifungulia kesi huku, Kichwa Kichafu wakili msomi amejitolea kunitetea
Na jose ni nani?Iceman mylove
Mapema hivi???Good naaaiiitttt...love you all![]()
Kwa hiyo yule baby mimi myloveIceman mylove
Shemela una hasira unatamani kumesa mutuAsichague
If she cant be with me while am sick she cant stand with me anyhow.
Aende kwa baby wake
Mie sitaki uzidi kuumwa. Nataka uponeAaah
We uspigane kaa tu unihudumie mgonjwa
Ni maneno magumu sana hayo mpenzi wangu jamani.Asichague
If she cant be with me while am sick she cant stand with me anyhow.
Aende kwa baby wake