JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

hahaha sio kweli, the Guy anaonekana anampenda sana ndio sababu bado anahasira mpaka ss hivi, ingekuwa sivyo yangekuwa yameshaisha haya [emoji1][emoji1][emoji1]

Trust me...after this saga they will be as stronger as the...... [emoji23][emoji28][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Najua heshima ya kiume lazima isimame mahala pake.
Uzuri ni kua Ney amejitahidi kurudi chini.
 
F nini? Nitwange ziro kabisa, Ney nae binadamu ujue, hana moyo wa chuma, kwa ile hali ya jana binti wa watu akaona upepo usije kugeuka akaanza kutengeneza mazingira rafiki. Hata hivyo papaaaa Jose anaumwa, ujue kuna maneno mgonjwa akiambiwa anapona. Sasa kumwita Baby imekusokotabkiasi hicho mwamba? Tunakutegemea sana mkuu. Usituangushe
Aaah!
Wewe ni rafiki wa Jose mwambie basi jamaa yako aendelee nadhani ndio utafurahi.
Sina la kujib tena
 
Apumzike wapi anagubu tu kiongozi wetu. Akisamehe sumu yote inatoka anaagiza pepsi na chips kavu zenye pilipili nyingi.
Samaritan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una nini lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hilo ndio jambo la muhimu kwa sasa. Tena mwambieni gubu baya, akiendekeza roho mbaya atapauka hatari.
We Sam mie sitaki ujue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom