JamiiForums Usiku wa manane
F nini? Nitwange ziro kabisa, Ney nae binadamu ujue, hana moyo wa chuma, kwa ile hali ya jana binti wa watu akaona upepo usije kugeuka akaanza kutengeneza mazingira rafiki. Hata hivyo papaaaa Jose anaumwa, ujue kuna maneno mgonjwa akiambiwa anapona. Sasa kumwita Baby imekusokotabkiasi hicho mwamba? Tunakutegemea sana mkuu. Usituangushe
Aaah!
Wewe ni rafiki wa Jose mwambie basi jamaa yako aendelee nadhani ndio utafurahi.
Sina la kujib tena
 
Back
Top Bottom