JamiiForums Usiku wa manane
Wee jamaa nimekufuta kazi. Nilitaka nione kiwango na umahiri wako kwenye hii kesi, umejichimbia unachungulia tu inavyounguruma hautii hata like achilia comment.

Ntajisimamia mwenyewe kesi yangu endapo Thad ataamua kuipeleka mbele

Uwakili wake huyu ni ule wa baraza la usuluhishi kesi za ngazi ya wilaya tu hawezi
 
Hamna mkuu sikuwepo on air. Kazi nimefukuzwa hata kabla sijaanza itakuwa huyu carbamazepine kaleta zengwe.


carbamazepine ni hasimu wangu toka kitambo, kuna group lao wanajiita roho mbaya, ila kwenye hii kesi ni uzembe wako kiongozi.

Unaona sasa, unaanzaje kutingwa na shughuli nyingine na kuipa hii kesi umuhimu mdogo? Kuna mtaalam anaitwa KLM atasimamia huu mtiti.
 
Back
Top Bottom