JamiiForums Usiku wa manane
Nangoja ushauri wako bado, maana wote wamegoma kunishauri wewe tu ndo tumaini pekee nililobaki nalo!

Kufa na utamu wako mamii

Kwanza mtaje jina ili tujue tunakusaidiaje

Haha ushakuja na mbwembwe zako...mambo vp student

Mapenzi kwa Nanni mbona unakufa na tai shingoni?

Sema kwanza ni nani Nleterewa au Mwifwa single dad?

Hii ndio shida ya mabint wa
kiBongo angekuwa mzungu amesha mwaga mchele

Baki na utamu wako full stop

Duh pole. Hakuna namna funguka tu. Usiweke kitu moyoni maana kitakutesa. Alafu siku hizi hayo mambo kawaida tu. Jiamini kumpenda mtu sio dhambi.

Ina maana huo ushauri wote hapo juu unajifanya hujauona

Kama umeshindwa kufuata ushauri hata mmoja hapo juu
Kilichobaki ni kumwendea kwa KALUMANZILA tu.
 
Back
Top Bottom