Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Mhhhhh sijajua, maana lile swala lilivyo sensitive vile waweza chat kweli?Hilo kwangu swali zito na gumu kiujumla angelijibu Neybright maana ameshaingia ndoani
Si waweza pigiza cm ukutani wakati unaitafuta mawenzi /kilimanjaro, embu tuacheni utani kwenye tendo. Tendo na liheshimiwe kwa kila athubutuye kulifanya.


