JamiiForums Usiku wa manane
Hilo kwangu swali zito na gumu kiujumla angelijibu Neybright maana ameshaingia ndoani
Mhhhhh sijajua, maana lile swala lilivyo sensitive vile waweza chat kweli?
Si waweza pigiza cm ukutani wakati unaitafuta mawenzi /kilimanjaro, embu tuacheni utani kwenye tendo. Tendo na liheshimiwe kwa kila athubutuye kulifanya.
 
Back
Top Bottom