Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Sina nenoMasingle wote hongereni kwa kuweza kuuishi usiku na mkapata usingizi
Mi nikiwa mnyegeni na mlaji hayupo napataga shida sana km hivi tangu saa nane nipo on
Adam Mungu anakuona ujue
Sina nenoMasingle wote hongereni kwa kuweza kuuishi usiku na mkapata usingizi
Mi nikiwa mnyegeni na mlaji hayupo napataga shida sana km hivi tangu saa nane nipo on
Adam Mungu anakuona ujue
Na wewe piaKaribu Februari. Kwaheri January na machungu uliyotupa.
Thad, Inna,Mwifwa, HB wa Kigogo,Kichwa Kichafu,Saint Ivuga, February njema!
Ndio nimekuja kufunga geti, muda ukifika nitalifunga05:04 Funga geti.
Poasawa najiandaa kutoka lindo
Nangoja ushauri wako bado, maana wote wamegoma kunishauri wewe tu ndo tumaini pekee nililobaki nalo!![]()
![]()
Hivi huu ushauri uliomba lini? Kweli mawani yangu iliyopotea itabidi niitafute.
Natasha?Mbona unajihami?
Nimeshakosea hatua ulizonishauri hapo juu, sasa nifanyeje ili kumnasa huyo nimtakae...Masikini Mwanafunzi wangu, siku nyingine ukiwa na shida usichelewe kwa Mwl wako.
Nenda PM yake mueleze kinagaubaga juu ya jinsi ulivyompenda, nina imani atakajibu vyema kabisa.
Au mfungulie thread sii wapambe tutashinikiza umtaje kwenye hiyo thread na ataona mwenyewe halafu baadae mtahamia PM mkasabahiane vizuri huko na kumwagiana sera barabara.
Nashukuru kwa kulikemea hili, yaani usiku kucha wako wote na hawabebishani ila wakifika hapa ndio wanajifanya wanajua sana kubebishaMwagieni sera inbox bana, mnatunyanyapaa sisi walinzi hapa
Anadhani nitashawishika kurudi darasani kwake kwa misemo hii ......Naona unatema misemo.
cc Thad
Nimeshakosea hatua ulizonishauri hapo juu, sasa nifanyeje ili kumnasa huyo nimtakae...
cc Nleterewa NganengoAnadhani nitashawishika kurudi darasani kwake kwa misemo hii ......
Mwambie Sishawishiki
Angalau wewe umenishauripo kidogo, japo siwezi kuufanyia kazi ushauri wako maana sina ujasiri wa kumwambia ukweliDuh pole. Hakuna namna funguka tu. Usiweke kitu moyoni maana kitakutesa. Alafu siku hizi hayo mambo kawaida tu. Jiamini kumpenda mtu sio dhambi.
Moyo u radhi, lakini mwili u dhaifu kumzukiaUsife na mahaba moyoni. Mzukie.
Asante sana. Natangaza kuwa waliokuwa wananidai, madeni yao yameondoka na January February hii sitaki kufatwafatwa na madeni yaliyopitwa na wakati.Karibu Februari. Kwaheri January na machungu uliyotupa.
Thad, Inna,Mwifwa, HB wa Kigogo,Kichwa Kichafu,Saint Ivuga, February njema!
He is no longer alive!Mhembe senior yuko wapi ?
Masingle wote hongereni kwa kuweza kuuishi usiku na mkapata usingizi
Mi nikiwa mnyegeni na mlaji hayupo napataga shida sana km hivi tangu saa nane nipo on
Adam Mungu anakuona ujue
Mzukie bwana. Onyesha dalili za kike.Nangoja ushauri wako bado, maana wote wamegoma kunishauri wewe tu ndo tumaini pekee nililobaki nalo!