Kufa na utamu wako mamiiHabari popozz na bundiz!
Jamani naombeni ushauri...humu ndani kuna mtu nampenda sana ila naogopa kumwambia.![]()
![]()
![]()
Nifanyeje?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwanza mtaje jina ili tujue tunakusaidiajeHabari popozz na bundiz!
Jamani naombeni ushauri...humu ndani kuna mtu nampenda sana ila naogopa kumwambia.![]()
![]()
![]()
Nifanyeje?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Huyo apo juu anaomba ushauriyupo wapi teacher,mbona simuoni!
Eeh nawe unakunywa dompo?? KipenzUje uninunulie dompo moja .sawa?
Ukujeeena mimi nataka kuja.
Uje home ushuhudie vyeti vya dadaako, naona sasa umekuwa tomaso hutaki kuniamini kabisa sijui shida ni nini hasa jamaniHmm hii sasa chai![]()
sister
Haha ushakuja na mbwembwe zako...mambo vp studentHabari popozz na bundiz!
Jamani naombeni ushauri...humu ndani kuna mtu nampenda sana ila naogopa kumwambia.![]()
![]()
![]()
Nifanyeje?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante miss you too my dearKichwa kichafu
Jje's
Thad
Manga
Mwalimu wake Thad upo wapi wewe?
Mmepotelea wapi jamani, nawamis mjue

Demiss wewe.....ndo nini kuniacha kwenye mataa mchana?![]()
Napitampaka club 7
NaonjaaEeh nawe unakunywa dompo?? Kipenz

Shida ipo ila utaijua tu baadae, mpe hi shem maana nasikiaga hii ndo mida mizur ya kutafuta watotoUje home ushuhudie vyeti vya dadaako, naona sasa umekuwa tomaso hutaki kuniamini kabisa sijui shida ni nini hasa jamani
Daah!!Naonjaa![]()

Sio mbwembwe best....Haha ushakuja na mbwembwe zako...mambo vp student

Bundi tuko tunasubiri popo wachoke ndo tuingie zamuuPopozzz
Ney kipenzi hujambo?Wanamakusudi sana
Hapalalikipatalalika hapa leo?
Hupendikipenz?Daah!!![]()
Hapa shikamoo haitanisaidia, naomba ushauri wako ndio mengine yaendeleemh! teacher ngoja kwanza,shikamoo teacher.
ZimefikaWape hi!!! Huko msalato