Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Na kwako pia mshiki, laa kucha kimana kya Ruwa.Wakuu mbaki salama ndugu zangu
Muwe na uck mwema
Na kwako pia mshiki, laa kucha kimana kya Ruwa.Wakuu mbaki salama ndugu zangu
Muwe na uck mwema
Na kwako pia hunter mkuu.Wakuu naachia kijiti muwe na usiku mwema
MamboAi ndo kwanza asubuhi
tupo pa1Nani yupo macho mida hii ya bundi
Kama kawaida mkuuNani yupo macho mida hii ya bundi
Duh pole. Hakuna namna funguka tu. Usiweke kitu moyoni maana kitakutesa. Alafu siku hizi hayo mambo kawaida tu. Jiamini kumpenda mtu sio dhambi.Habari popozz na bundiz!
Jamani naombeni ushauri...humu ndani kuna mtu nampenda sana ila naogopa kumwambia.![]()
![]()
![]()
Nifanyeje?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Masingle wote hongereni kwa kuweza kuuishi usiku na mkapata usingizi
Mi nikiwa mnyegeni na mlaji hayupo napataga shida sana km hivi tangu saa nane nipo on
Adam Mungu anakuona ujue

Usife na mahaba moyoni. Mzukie.Yupo mhendisome mmoja matata sana hapa, huyo ndo ananinyima usingizi...
Sili silali kwa ajili yake
Nipo HBNani yupo macho mida hii ya bundi
![]()
![]()
![]()
Aisee yani saivi ndo nishakua mwalimu wa balimi komredi![]()
Inaelekea huyu x- Mwanafunzi wangu amenichafua sana kipindi naugulia maumivi ya kutoswa![]()
Mimi hapaNani yupo macho mida hii ya bundi