Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,697
- 21,276
It was expected......Wasafi walikuwa wanaitest Mamalaka inayojifanya nafiki nafiki......sasa Wasafi wamejua Ubaya sio Lissu bali.......Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.
Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi
Uwezo wa Tundu Lissu ni UndisputedLissu Akiongeza anasililizwa sana na watu kwa sababu Mara nyingi haongei SIASA anaongea Fact na sheria..
Sheria Mara nyingi inachoma kuliko Hata Siasa
Star tv nawaaminia sanaHata sijui mnashangaa kitu gani hapo, kwangu hata kama mahojiano yangefanyika, naona hizo ni siasa tamu za muda mfupi tu
Diamond = CCM.
Kitenge = CCM.
Hayo mambo ni kuyazoea na kuachana nayo, tazameni njia nyingine zenye maana zaidi na uzito, zenye kuleta mabadiliko kiuhalisia, sio kwa maneno.
Hata Lissu sioni maana kwake kwenda huko kupata maelezo, hao jamaa wanatumiwa na CCM, ndio wanaowapa leseni, lakini pia, mambo mengine ni maamuzi yao kwani kituo ni chao.
Kama wameamua kuhairisha au kufuta, muhimu wamuombe radhi Lissu kwa usumbufu biashara, iishe, sio kila siku tuendelee kushangaa hadaa zile zile za miaka yote, ni ujinga.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Si wameweka hayo kwenye Barua yao. Eti Wametushitaki U.N π€― π.Katiba mpaya wakati katiba ya cdm ina mwenyekiti wa Milele
Hii ndio dawa yaoAisee!
Ona akili yake ilivyo mbaya. Kwani ni nguvu kuhojiwa? Wamebadilisha offer kukuhoji ukitaka dai muda na nauli kuja studio kuleta fujo. Yes kuleta fujo maana walikupigia simu kwamba mahojiano hayatakuepoπ€£πMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu bado yupo kwenye ofisi za WASAFI FM , akisubiri atajiwe jina la Mtu aliyezuia Mahojiano yake kwenye kioindi cha GOODMORNIG .
View attachment 2896676
Lissu alialikwa kwenye kipindi hicho lei aaubuhi , lakini ghafla maagizo kutoka juu yakawatwanga mkwara Wasafi FM kutothubutu kumpa MIC Tundu Lissu
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.
Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.
Nao wamebadilika juzi tu bwashee...lakini nao walikuwa wale wale tu.Star tv nawaaminia sana
Heche anaalikwa hadi anakataa mwenyewe dadeki
Wasafi wameepuka Nuksi π
Bila Polisi CCM ni wepesi kuliko pambaKwani alikuwa na lipi jipya?
Polisi hawamiliki kituo cha redio!Bila Polisi CCM ni wepesi kuliko pamba
Hivi huyo Tundu Lissu angehojiwa hapo Wasafi Radio ndiyo maana yake usalama wa nchi ungekuwa hatarini??Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.
Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM
---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.
Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.
Updates
Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi
wamejifunza kwaTaifa STarz kule Abidjan π