Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

Sema siasa ni uwanja flan wa kikatili sana wakati napitia huu uzi nlikuwa You Tube naangalia wimbo Fally Ipupa Ecole, nkamkumbuka Humphrey Pole Pole wakati wa JPM kuna video moja kwenye ukurasa wake wa Instagram alikua anacheza huu wimbo kutoka dakika ya 3:07 mpaka 3:46.
Baada ya miaka kadhaa unashangaa JJM ni PM na PM ni katibu mkuu
 
Wengi wanajificha humu JF

Wachache wanajuana
Baadhi ya wengi hatujuani kwa sura wala adress zetu/mahali tunapoishi

Hatuna na hatutoi na hatupati mda wa kutoa taarifa unapopata janga la ghafla, unakuta unaweza ukafa asijue yeyote yulee, wachache wanaofamiiana ni vyema sana
 
Kama kuna yeyote aliyehamasisha watoto wa kitanzania kuingia barabarani na kwa bahati nzuri akapitiwa basi ni jambo la kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom