Yuko wapi Juliana Shonza?

Yuko wapi Juliana Shonza?

Yuko wapi!?!
Huyu Naibu Waziri wa Kazi,Ajira na Vijana wa Zamani kupitia CCM ya Marehemu Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa Zamani wa BAVICHA ya HECHE?!!
Au ndiyo Kimya Kingi tungojee Kishindo Cha kutishana sana Kisiasa ndani ya CCM ya Samia!!?
Alijaa tamaa na kukubali kuongwa na Magufuri. Huyo kasha kufa kisiasa
 
Kumbe!!!
 

Attachments

  • downloadfile(41).jpg
    downloadfile(41).jpg
    346.1 KB · Views: 8
Akili ya Mheshimiwa Juliana Shonza ni Kubwa na Ndio Maana ameendelea kuwa Sauti ya Wana Songwe kwa Muda wote Tangia Ameingia Bungeni.

Wewe utaendelea kuwa maskini na Familia yako nzima
Nyie wafuasi wa majizi yaliyojilimbikizia mali za wizi huo utajiri wa mabwana zenu umewasaidia nini nyie wajinga wajinga mnaowekewa bando Kwa kutumia account moja humu jf.
 
Yuko wapi!?!

Huyu Naibu Waziri wa Kazi,Ajira na Vijana wa Zamani kupitia CCM ya Marehemu Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa Zamani wa BAVICHA ya HECHE?!!

Au ndiyo Kimya Kingi tungojee Kishindo Cha kutisha sana Kisiasa ndani ya CCM ya Samia!!?
Yupo ni Mbunge wa Viti Maalum Songwe, mimi namkubali sana, akiwa Chadema, nilimpigania
sana
P
 
Back
Top Bottom