Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

Isije kuwa kesha ingia kwenye orodha mpya ya watekwaji tu?Kwani vibakora bado tunatembeatembea!Jo popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone tafadhali!
Yule si alikuwa jembe&nyundo kindakindaki
Isije tu lbda ile Oct alisema akashangae ndiyo yakamkuta....
Zaidi ya hapo labda kajichimbia tu

Ova
 
Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.

Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.



johnthebaptist
Assignment aliyopewa ameikamilisha yupo hapa ofisini anaandaa ripoti ili awasilishe huko juu kwa wakubwa.
 
Hiyo Id pamoja na yule mngoni lizaboni, ni kama Drones🤣 , when the storm is not calm ndio Zinakuja kama Battalion supporter. Sasa hivi zimepack 🤣🤣🤣
Duuuh
 
Yule si alikuwa jembe&nyundo kindakindaki
Isije tu lbda ile Oct alisema akashangae ndiyo yakamkuta....
Zaidi ya hapo labda kajichimbia tu

Ova
Yupo rafiki yake P,aseme neno tujue alipo Johnthebaptist
 
Umri mkuu.
Umri ukifika mambo mengi unaona ni utoto hasa kujibishana hapa JF

Hata mitoko inapungua inafika muda hata vinywaji unakunywa nyumbani na familia badala ya bar

Kila kitu na wakati wake yawezekana amefika maturity age ni umri wa kujitambua unajikuta unathamini familia zaidi kuliko marafiki na hata kuandika unaona uvivu unaishia kusoma tu

Jamaa atakuwa ana spend muda na familia yake sana kuliko kuchart hapa JF
Umemaliza kila kitu.

Uzi ufungwe.


Cc Smart911
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom