MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 5,362
- 7,629
Basi huyo alikua slow silowsina hakika gentleman š
Basi huyo alikua slow silowsina hakika gentleman š
LUKUVIHuyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.
Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.
johnthebaptist
Siyo kweli. johnthebaptist alikuwa na energy kubwa sana kwenye uchangia hoja JF kwenye kila jukwaa. Nadhani alianza kupotea kwa sababu ya kufungiwa na Serikali mwaka jana mwezi Septemba. Ila baada ya JF kufunguliwa sijamuona kabisa akirudi. Yawezekana amefariki ngoja tuendelee kusubiri pengine atatokea kama alivyotokea denoo G na raraa reree ambao pia kwa muda mrefu hatukuwaonaUmri mkuu.
Umri ukifika mambo mengi unaona ni utoto hasa kujibishana hapa JF
Hata mitoko inapungua inafika muda hata vinywaji unakunywa nyumbani na familia badala ya bar
Kila kitu na wakati wake yawezekana amefika maturity age ni umri wa kujitambua unajikuta unathamini familia zaidi kuliko marafiki na hata kuandika unaona uvivu unaishia kusoma tu
Jamaa atakuwa ana spend muda na familia yake sana kuliko kuchart hapa JF
Huyu Lord Denning alipost mara ya mwisho February 2026. Yawezekana amepata kiarusi maana alikuwa na mategemeo makubwa kuwa maandamano yangefanikiwaHata Lord Denning aliyekuwa anasema wamarekani walete no flying zone, kwani yuko wapi?
Mtafutieni VPN ataonekana tuu..Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.
Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.
johnthebaptist
Sawa mkuu majukumu memaUmri ushasogea tajiri, kukaa sana hapa jukwaani haiwezekani tena kama zamani. mkuu
Itakua analeaNa FaizaFoxy amepost mara ya mwisho Januari 2026
Isije kuwa kesha ingia kwenye orodha mpya ya watekwaji tu?Kwani vibakora bado tunatembeatembea!Jo popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone tafadhali!Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.
Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.
johnthebaptist
Waziri yule asingekuwa na muda wa kupost kama jamaa alivyokuwa akipost hapa.LUKUVI