huyu

Huyu Township (simplified Chinese: 户育乡; traditional Chinese: 戶育鄉; pinyin: Hùyù Xiāng; Jingpo: Hu yup or Hi yup) is a township in Ruili, Yunnan, China. As of the 2016 statistics it had a population of 8,521 and an area of 204 square kilometres (79 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Huyu Chawa alikuwa ni Team Dr Emmanuel Nchimbi. Kapigwa na kitu kizito mpaka haamini!

    Ni Tlaatlaah Humwaambii kitu kuhusu Nchimbi. Tangu Dr Emmanuel Nchimbi aliwe kichwa na wenzake, Tlaatlaah kapoa kwelikweli, hofu na woga umemkamata. Hajui hatima yake. Na labda pengine hata yeye keshatekwa, hajulikani yuko kwenye "house arrest" ipi.. Wamebaki Chawa Team Samia wenye roho...
  2. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kuna nguvu kubwa sana inatumika kumuhallaisha huyu dogo wao kwenye nafasi ya umakamu wa Rais

    Kuna jambo linafichwa ndio maana kuna nguvu kubwa sana inatumika kumpamba huyu dogo wao. Wanamjua mama yake ni Mzanzibar ila Kabudi alisema mama yake ni mchaga....🤣🤣 Hii nchi ina watu wapumbavu kwenye nafasi za muhimu sana
  3. R

    JamiiForums Tanzania Msaka uteuzi chawa mwingine huyu hapa

    Eti hakuna haja ya katiba nyingine
  4. Red black

    JamiiForums Tanzania Unakuta pimbi kama huyu ni waziri wa wizara fulani.

    Kuna vitu vinachekesha sana
  5. S

    JamiiForums Tanzania D Rax ajifananisha na Marioo kimavazi

  6. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Huyu sasa ndio Vale Nafaka

    Hakika Mungu kaipendelea Tanzania. Valentina Gabriel jina lake, almaaruf Vale Nafaka a girl with an extra ordinary, natural and undisputed beauty. Who makes heads turn and pulses run fast. God please 🙏🏿continue blessing and protecting Vale Nafaka. Die hard secret admirer.
  7. Waterloo

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM hapa ndio sehemu ya kutuma Ujumbe kwa Samia siku ya kupigia kura hilo jina la Makamu wa Rais. Hana Cha kuwafanya kwasasa

    Kama mnakipenda chama chenu na nchi hii sehemu pekee iliyobaki ni hapa. Mtumieni salamu ajuwe hamjapendezwa na kitendo alichokifanya. Huwezi kumfukuza mtu uanachama eti kwa sababu anataka tupate katiba mpya. Mkizubaa huyu bibi atawatesa sana. Kazi kwenu sasa mkubali kuwa mateka au muamue kuresist.
  8. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Huyu mtu atatoka kweli kwa hali ya kawaida?!

    Inatamausha mno kwa namna hali ilivyo. Inafikirisha vilevile kushuhudia hayo yawayo Hofu yangu, huyu ndugu ataondoka kweli kwa utaratibu uliozoeleka? Binafsi sioni akiondoka ki kawaida. Pengine namkosea Mungu, lakini ni muhimu kujiandaa kwa lolote Dalili zi wazi, huyu ndugu atataka kuongoza...
  9. Sodoku Myebusi

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa Mwanamke wa Kiyebusi!

    Baada ya jamaa yangu mmoja kusisitiza anataka mke wa Kiyebusi nikamuunganisha na huyu dada anaitwa Vasavadatta anatokea huko Udayana Kingdom. Jamaa amenipigia simu akilia nimwombee msamaha kwa huyu dada. Moja ya kosa alilofanya ni alipomwalika Hotel wapate lunch wakati wa kuondoka akampa Tsh...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kuwa Mkweli Kunaponza!, Nilidhani Unawa Cost Malofa na Makapuku Tuu, Kumbe Hata Vigogo Wakubwa kama Huyu!. Kosa Lake Nini?, Au ni Kuwa Mkweli Sana?!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali... Japo najua mtu ukiwa mkweli sana, sometimes ukweli unaweza kukuponza!, ila nilidhani ukweli una wacost malofa tuu na makapuku, sikujua kama unaweza kuwaponza wakubwa kama Balozi Polepole, Polepole alipoanza kuusema ukweli wake, mimi nilimshauri sana tuu...
  11. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Emmanuel John Nchimbi. Je, nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?
  12. F

    JamiiForums Tanzania Professor Elisante Gabriel!!! Hata sijui ni nani huyu.

    Wakuu, huyu ni professor wa nini na yupo wapi sasa? Nimesikia sehemu Rais anamtafuta mtu weak mno ampe Nafasi ya Nchimbi. Mtu asiyemsumbua na kuilenga 2030 na amepanga kwenda na mtu huyu. Nchi hii tutaona mengi wallahi
  13. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa waliokuwa na majina lakini wamepotea chini ya Samia...

    Huyu Mama kiboko hii list ni ndefu sio kidogo hawa ni wachache nao wafahamu. 1. Aliyekuwa Makamu mwenyekiti CCM (Kinana) 2. January Makamba, 3. Kassim Majaliwa 4. Doto Biteko 5. George Simbachawene 6. Job Ndugai 7. Tulia Ackson 8. Phillip Mpango 9. Jennister Mhagama 10. Humphrey Polepole 11...
  14. Waterloo

    JamiiForums Tanzania Rais Museveni hii leo akutana na Ujumbe wa Abdul Hafidh mtoto wa Samia ikulu ya Entembe. Hivi huyu dogo ana cheo Gani serikalini?

    Kuna maswali yanakuja kichwani kwangu bila majibu. Rais wa Uganda anampokea kwa itifiki ipi je ni ya kiserikali au huyo bwanamdogo ni mfanyabishara au mwanasiasa au balozi wa hii Serikali? Mwenye ufahamu tafadhali maana nachanganyikiwa.
  15. polokwane

    JamiiForums Tanzania Mnao dhani Kikwete ni msaada mmepotea sana huyu mtu hajawahi kuwa msaada kwa taifa na hatokuja kuwa na msaada wowote kwenye taifa huyu ni ibin maslah

    Kwa wanao mfahamu tangu zama za nyerere wanajua.
  16. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kijana anajua huyu.

    Yeah .. kauvaa uhusika haswa.ni hayo tu.. kijana apewe support😜😜😄🤣
  17. Mwizukulu mgikuru

    JamiiForums Tanzania Mlio karibu na huyu jamaa muambieni walikuwepo akina Musiba

  18. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Wabongo bwana, eti huyu alikua anamtumia hela baba yake amjengee NYUMBA, akiwa afrika kusini

    Video imepatikana kijana wetu aloewauwa baba yake na baba yake mdogo kisa walikula hela zake za kumjengea NYUMBA alipo kua afrika kusini, huyu kijana ndio yule wa mwananyamala. Hivi huyu niwakutuma kweli hela Kwa unavo muona
  19. Ushimen

    JamiiForums Tanzania Wakuu, huyu mwanamke nimeamua kumtolea uvivu... au nimekosea ndugu zangu??

    Baada ya kumaliza ugomvi wa jana basi leo alipo kuja geto nikamwambia kwamba nina wazo..... Yeye: Wazo gani mpenzi..?? Mimi: Nimepata wazo la kukuoa Yeye: Kama ni hivyo basi naomba uache pombe, uache kutoka na marafiki.... Yeye: Wazo gani liningine unahisi ukiliacha utaipata furaha? Mimi...
  20. D

    JamiiForums Tanzania Rais wetu Samia, RC Chalamila kupitia zogo hil la stendi ni mzani wake wa mwisho kwamba huyu hatoshi kuwa RC DAR (Tumbua mama)

    Naomba kufikisha salaam kwa Rais Samia kuhusu Sakata la stendi ya magufuli! Wamiliki wa mabasi wametumia kila njia kuomba kuonana na mkuu wa mkoa ili yafanyike mazungumzo kabla ya zoezi lakini ilishindikana. Wananchi pamoja na wamiliki wa mabasi tumetoa maoni kupitia vyomba vya habari lakini...
Back
Top Bottom