Tunaendelea kushangaa matamshi ya huyu jamaa, Mzanzibari, eti Makamu wa Rais Nchimbi ni Yuda na msaliti.
Haya ni matamshi mazito kwa kiwango chochote.
Kwanza, sijui kama swala la usaliti, Bungeni ni mahali pake.
Pili, hatukuwahi kumsikia huyu Simai akilaani mauaji ya Oktoba 29, ambayo...