huyu

Huyu Township (simplified Chinese: 户育乡; traditional Chinese: 戶育鄉; pinyin: Hùyù Xiāng; Jingpo: Hu yup or Hi yup) is a township in Ruili, Yunnan, China. As of the 2016 statistics it had a population of 8,521 and an area of 204 square kilometres (79 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Huyu mdada msomali nimesoma nae Kenya, leo naona picha ya marekani kwa kujipatia pesa kitapeli, aisee dunia ni ndogo😁

    AIsee fahima what happened😬 👇
  2. Red black

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    smoking On the stage
  3. Nanren

    JamiiForums Tanzania Sipho "Jambo" Johnson: Sikujua kama huyu dogo alishatangulia

    Nilipenda sana reggae zake zilizokuwa zinamidungo ya kiafrika afrika. Watu wengine walifikiri miziki yake ni ya Lucky Dube. Leo ndio nimejua kuwa alishafariki miaka kadhaa iliyopita. RIP Sipho Johnson "Jambo"" https://www.youtube.com/watch?v=T7J9JjrDzUA...
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Neno moja kwa huyu kijana shupavu ambae amewatia moyo Gen Z kuwa sio wahuni wala majambazi wanaostahili kupigwa na kutekwa

    Kijana shujaa wa Chadema ya Lissu👇
  5. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi. Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea...
  6. R

    JamiiForums Tanzania POLISI tafadhali mshughulikie huyu anahatarisha Amani yetu, isiwe mnaiona Chadema tu ingawa Chadema haijawahi hatarisha Amani

    Clip speaks for itself
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke kila akipata hela lazima anikumbuke hata kama ni hela ndogo, nahisi kumpenda sana

    Kwema binaadamu wenzangu mliomo humu? Jamani kuna huyu mwanamke naweza sema ni mchumba wangu tuna kama miaka miwili toka tumefahamiana. Tumepitia stages tofauti tofauti, kugombana, kupotezeana, kuumizana, kuenjoy na kununiana kama ilivo kawaida mambo ya mahusiano. Huyu mwanamke ni aina ya...
  8. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimtongoza huyu dada, akanikataa,, akamchagua jamaa yangu, sijatajirika sijabadirika leo, anani fata, eti she loves me

    Hawa viumbe sijui shida Nini, nilimtongoza, akanichomolea, akamkubali mshikaji wangu, nikasema basi haikua bahati, time go, eti Leo ananambia ananipenda nimuowe, Mimi sasa👇 Nikajifikiria, nikamtega, vipi bikra bado ipo, akadai ipo imejaa telee, dah nikakuna kichwa, nikampa hii, dada angu Sina...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna mtumishi aliyekubalika na watawala CCM na kudumu muda mrefu zaidi katika nafasi yake zaidi ya Jaji Mutungi?

    Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote. Wote wameipenda na kuridhishwa na kazi yake Jaji Francis Mutungi, msajili wa vyama vya siasa!
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kwa kiongozi huyu, Taifa litashuhudia maafa kila siku

    Pius Msekwa alipata kusema kumvumilia kiongozi mbovu kwa miaka mitano ni bahati mbaya sana kwa Taifa na huenda taifa hilo likazama shimoni milele lisiinuke tena. Pale ambapo taifa limepata ajali ya kuongozwa na kiongozi asiye na karama/karisma maafa ya kila mara na yanayoacha kumbukumbu mbaya...
  11. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Inasemekana huyu mwamba ni tapeli wa kutisha, kuna yeyote anamfahamu?

    Wana jf habari zenu? Huyu mwamba hapo pichani inadaiwa ni tapeli wa kutisha picha zake zimezagaa sana mitandaoni. Inasemekana mwamba hukodi magari na kufoji kadi kisha kuyauza kwa bei chee kisha kumuachia msala mnunuaji, hizi shutuma nimezioma hata kwa watu maarufu wakidai kutapeliwa na huyu...
  12. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Huyu billionea george soros ni nani haswa? Mtu anaesadikika kufadhili kampeni za kusambaza maudhui ya kishoga duniani kwa kununua haki za televisheni

    Namuona huyu mtu akitajwa sana kwenye maandamano ya kumpinga trump, maandamano ya upinde na maandamano ya free palestine. Mwenye moja mbili tatu zake anishtue
  13. R

    JamiiForums Tanzania Nchi hii imefitinika. Huyu na wahuni wenzake alimkaba Warioba na leo ni Waziri!

    Habari picha Pia soma: CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nlisema mimi kuhusiana na huyu Member. Mkasema Chizi M. Wewe Mkorofi. Sasa amethibitisha

    Wakati nawaambia kuhusu watu kuwa ni akina annabelle mkasema Chizi Maarifa wewe ni mkorofi unawachukia tu rainbow kiasi kila mtu unamwona ni papaya. Sasa someni. Ame advance kwa sasa ameamua kuwa verified kabisa na ameweka na Tangazo hapo. Aliye na macho na aone. Hii ndo Jamiiforums. Jamaa...
  15. Nelson Kileo

    JamiiForums Tanzania HATARI ! sasa mtoto wa Kiume analindwa kwenye malezi kulliko mtoto wa Kike

    Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
  16. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Tazama biblia ilivyookoa maisha ya huyu mwanajeshi wa IDF

    Biblia inaokoa maisha ila kile kitabu kingine kinahamasisha kuondoa maisha
  17. Trainee

    JamiiForums Tanzania Watu wa karibu na huyu mlevi anayejiita mkemia hebu msaidieni kabla haijawa too late!

    Kuna jamaa mmoja anapenda kuweka status WhatsApp zikionesha mnywa pombe anayejiita mkemia mkuu. Kwenye hizo clips mara zote nilipoangalia ni kwamba huyo jamaa (mkemia) anaonesha namna alivyo mahiri katika kunywa pombe kali kali za kila aina. Ukichunguza vizuri utagundua yule mtu anaumia sana...
  18. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    Kwa mtaji huu, sidhani kama Samia ataenda Marekani kipindi hiki cha Trump. Binafsi naombea aende ili watu tupate fursa ya kumrushia mayai viza na kumtukana kwa kutumia vipaza sauti na ikiwezekana hata na kumfanyia mengineyo zaidi ya hayo 😉. Fedhuli Samia akae akijua kwamba damu za maelfu ya...
  19. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Karma is real. Member huyu sasa anapata tamu ya chungu yake. Matusi hayajengi

    Makebo ametukana watu sana humu bila aibu kwa muda mrefu sasa hivi mpila umemrudia yeye ili aone jinsi alivyotesa wengine.
  20. sergio 5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu Mwanamke amenishangaza sana

    Nimekaa nae weekend hii aisee Hajui kabisa kupika vingereza kibao Inawezekanaje mtu Hajui kupika kama Kwa ufundi mkubwa hivi
Back
Top Bottom