Hawa viumbe sijui shida Nini, nilimtongoza, akanichomolea, akamkubali mshikaji wangu, nikasema basi haikua bahati, time go, eti Leo ananambia ananipenda nimuowe, Mimi sasa👇
Nikajifikiria, nikamtega, vipi bikra bado ipo, akadai ipo imejaa telee, dah nikakuna kichwa, nikampa hii,
dada angu Sina...