Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

kama unataka wachangiaji andika kuhusu mapenzi......!
 
You raise me up so i can stand on mountains...
you raise me up to face stormy seas....

kaimba JOSH GROBAN my dear sisy......

nice dedication

Jaman endelea basi yaani naupenda sana huu mwimbo niliwakimbia kidogo wageni waliingia
 
Jaman endelea basi yaani naupenda sana huu mwimbo niliwakimbia kidogo wageni waliingia
dU..mKUU, wageni gani hao usiku mwingi namna hii?...au hiyo nchi uliko wewe ni mchana!...Uko Kandahar nini?
 
KOKUDO ndo VIA MOBILE.....mna mjibu mtu huyo huyo.....ana ID zake mbili.....:A S 13::A S 13:
Hapana michelle via mobile ni tofauti na mm kokudo.we via mobile weka wazi ok coz ulichangia dizaini kuitetea hii pole pacha via mobile
 
mie nilijua 'you raise me up' wameimba west life???:decision::A S 13:
 
wewe ndo mchizi wangu.....mpe thanks bahili huyo aelewe....anapenda attention ka nini!!
Michelle ucwe kama mkulya ntakugesha wakati keshakugesha nimekuudhi?
 
Kokudo, pole sana kwa kukoseshwa amani na watu haata huwajui. Pengine ulosema yana ukweli au la, lakini kwanini kama umeligundua hilo usitafute njia nyingine kama kuwapotezea, then si lazima uwachangie post zao, waache wachangiane wao kwa wao then changia wale wanaokuchangia. Pia unaweza kutafuta friends humu ambao mtakua mnachat wanakuchangia pia, mfano mimi hua siangalii na mchangia nani, so hata zangu hua siangalii nani kachangia nani kaacha na sina mpango wa kufanya watu flani wanichangie Big No huo ni utumwa, ila yeyote atakae jiskia aspo jiskia anachapa mwendo mi ujumbe unakua umefika. Tatizo lako wewe unadhani watu flani wakikuchangia ndo utakua juu hakuna super star hapa wala nini au unataka watu wakuulize ulikua wapi au sijui nini, kwani wanakujua? Au nirafiki zako kwani? Kwanini uugue vidonda vya tumbo kwa vijimambo vidogo hivi jifunze kutafuta amani na watu wote. Kumbuka ni watu kama wewe, please inaonyesha umeumia sana mkuu, wapo watu mmojawao ni mimi wanachangia bila kujali wala kubagua. Nadhani umenielewa leta post tutakuchangia. Si lazima nani na nani wewe ndo unajichanganya.
 
Inategemea na creativity mkuu na namna ya kuwavuta watu. Mwenzenu nilikuwa kila nkileta wanachangia mmoja au wawili na me mwenyewe nkajua siwagusi. So nimebaki kusubiri walete tu nichangie za kwao. Siyo kwamba unatengwa mkuu ila ni namna tu ya kuwashika.
Pole kaka weka leo 2we 2nachangia wenyewe
 
Hapana michelle via mobile ni tofauti na mm kokudo.we via mobile weka wazi ok coz ulichangia dizaini kuitetea hii pole pacha via mobile

Don't worry pal...the girl was way off-base but it's not her fault...it's the culture of conjecture that's deep rooted in here that make people think they know all and sundry!!!
 
em achana na huyo ****** kaka yangu......asikuharibie siku yako kwa inferiority complex yake.....:rain:
Jamani msifanye hvyo mbona mnatofautiana kwa v2 kdg?michelle msamehe via mobile bwana yamekwsha ma2c ya nn?
 
dU..mKUU, wageni gani hao usiku mwingi namna hii?...au hiyo nchi uliko wewe ni mchana!...Uko Kandahar nini?

Bwa weee waliingia usiku ni wa kulala kwa hiyo maongezi na nini ikatukuta tumechelewa
 
[/COLOR][/B]

2.jpg
Yani umeniua mbavu kwa picha hii via mobile omba msamaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom