Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

ameenda kulaza watoto,namsubiri sebuleni tuje tucheki game ya man u

vipi tena....si tulikubaliana ya arsenal?? basi angalia mwenyewe...mi naenda angalia kule na MR.....tuonane baadaye,watoto wakililia naomba umwamshe dada awape maziwa na ambadili huyo mdogo....l.o.l.....enjoy my lv
 
kasomeni mi-thread yake yote tumechangia...leo analalamika uongo,mwanaume gani unapenda attention za lazima kiiivyo? kama tunakukera hama kabisaaa sie tupo sana tu hapa ndo nyumbani.......!!!!
Naamini hauko hvyo pole michelle punguza jazba
 
Missing you too! Sleep well! <b>Via Mobile</b> is becoming Mobile! watch out!!!!
<br />
<br />
Yaani we acha tu laptop imeanza mambo yake yalee najifunza via mobile dear ucku mwema my love! BE asijeckia?
 
Kwa heshima na taadhima, namtakia kukodo usiku mwema. Namshukuru kwa kutuletea sababu ya ksherehekea, lengo limetimia, usikose kutuambia kesho kwamba hii ni moja kati ya thread zako zilizochangiwa sana!!! Thanks Kokudo.
 
Kuna watu wanashinda kwa wagangas ili post zao zibambe lakini wanaambulia patupu. mfano wao watu hao ni Bujibuji mtani wangu
<br />
<br />
Aisii. Umeniacha hoi waganga tena hata watu huwafahamu kweli duniani kuna mambo.
 
Duka gani liko wazi? Natafuta chaja ya kobe.niko na spea betri hapa..na soda ya kopo.
 
WISELADY

Nampenda huyu mdada, bas tu
 
Jitahidi kuweka post zenye kugusa jamii, kama post hazina mguso watu wanasoma then wanaendelea na mambo mengine, kumbuka hii ni sehemu ya MMU hivyo ni tofauti na maeneo kama siasa etc. Mimi nadhani hakuna ubaguzi bali hawa watu uliowataja post zao zina mguso kwahiyo watu wanachangia. Pia hata kusoma ujumbe ni muhimu siyo kila post unachangia hata kama wenzako wamechangia mawazo yanayofanana na unayotka kuyatoa. Usijiskie vibaya watu kutocgangia post zako.
Thanks vumbi nimekuelewa sitajickia vibaya tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom