Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,631
- 3,544
The Following User Says Thank You to kokudo For This Useful Post:
hashycool (Today)......L.O.L
wewe ndo mchizi wangu.....mpe thanks bahili huyo aelewe....anapenda attention ka nini!!
The Following User Says Thank You to kokudo For This Useful Post:
hashycool (Today)......L.O.L
Haha hahha Michelle ume ua haha haha
Shauri zake................The ignorant man always adores what he cannot understandKOKUDO ndo VIA MOBILE.....mna mjibu mtu huyo huyo.....ana ID zake mbili.....:A S 13::A S 13:
KOKUDO ndo VIA MOBILE.....mna mjibu mtu huyo huyo.....ana ID zake mbili.....:A S 13::A S 13:
Kuna mada zingine wala hazina mguso wowote ila basi tu watu wanachangia kwa vile mwanzisha mada ni mshikaji na hiyo mada iliyoanzishwa inageuka kuwa kijiwe cha stori za ulevi na infii. Nothing substantive. Na ukiangalia watu waliochangia unakuta ni watu wasiozidi hata hata 7 na mada ina kurasa 25!!
Wacha zako hizo...nikikwambia thibitisha utathubutu??? Hebu acha kubashiri...fani ya watu hiyo...
ha ha ha ha ha.....namleta jukwaa letu awehuke then atulie....baada ya shughuli kama ya yule simba wa jana....l.o.l:wink2::rain:
Kumbe huwa wakereka na kuwashwa basi endelea hivyo........you are just pertaining to the hedgehogKuna mada zingine wala hazina mguso wowote ila basi tu watu wanachangia kwa vile mwanzisha mada ni mshikaji na hiyo mada iliyoanzishwa inageuka kuwa kijiwe cha stori za ulevi na infii. Nothing substantive. Na ukiangalia watu waliochangia unakuta ni watu wasiozidi hata hata 7 na mada ina kurasa 25!!
niambie....muone kwanza....The ignorant man always adores what he cannot understand
Kumbe huwa wakereka na kuwashwa basi endelea hivyo........you are just pertaining to the hedgehog
homu boyi na Thanx tumpatie ama? akimaliza hii anaweza kuja kusema tunamnyima thanx...
JF inanipa raha sana kila siku vituko haviishi.
Inategemea na creativity mkuu na namna ya kuwavuta watu. Mwenzenu nilikuwa kila nkileta wanachangia mmoja au wawili na me mwenyewe nkajua siwagusi. So nimebaki kusubiri walete tu nichangie za kwao. Siyo kwamba unatengwa mkuu ila ni namna tu ya kuwashika.
"Nothing in the world is more dangerous than a sincere ignorance and conscientious stupidity."
Kokudo anaweza kuwa na hoja nzuri tu hapa. Sina hakika na uwasilishwaji wake ila anachokisena kipo na kipo wazi kabisa.
Ahaaaa ahaaaa umeshindwa hoja waanza matusi halafu ujue uko nyuma haukuwa hivyoPlease shut your hole you uncouth ignorant cunt..
"Nothing in the world is more dangerous than a sincere ignorance and conscientious stupidity."
Jibu ni rahisi! Wanachangiana kwenye post zao, kwa hiyo hata ukikuta post ya mmoja wao imechangiwa jaribu kuangalia wachangiaji, utakuta ni wale wale. Halafu inategemea na mchango, kwa mwingine hata neno moja tu eg 'LOL' kwake ni post!LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi