Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi

Pole kakudo labda ujaribu kuongeza marafiki kwenye profile yako nafikiri hawatakuangusha kwenye thread nyingi huwa wakati mwingine wanabaki marafiki wanachat tu ndio unaona post zinakuwa ndingi. pia jifunze kuthanks watu basi mimi sijaona thanks yako
 
Watu watachangia vipi!? unaanzisha thread halafu unaingia mitini, ndugu unatakiwa kuendesha na kujibu hoja kwenye thread yako. Ukiinga mtini ina maana Thread cl_sd.
Aisee hebu kama kwanza hii hapa chini....

The Following User Says Thank You to popiexo For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
homu boyi na Thanx tumpatie ama? akimaliza hii anaweza kuja kusema tunamnyima thanx...
JF inanipa raha sana kila siku vituko haviishi.

tumpeni thanks jamani...watu wana inferiority complex wanaleta blame game hapa.....Kimey my dear tuanze kumpa thanks
 
homu boyi na Thanx tumpatie ama? akimaliza hii anaweza kuja kusema tunamnyima thanx...
JF inanipa raha sana kila siku vituko haviishi.
Hommie na THANKS tumpe nyingi ikiwezekana ampite hata MWANAKIJIJI kwa THANKS
 
Wacha tuzilimbikize.mpaka mia nane..mtoto akililia wembe jua vuzi lishaota.hahaha.
 
KOKUDO ndo VIA MOBILE.....mna mjibu mtu huyo huyo.....ana ID zake mbili.....:A S 13::A S 13:
 
Jitahidi kuweka post zenye kugusa jamii, kama post hazina mguso watu wanasoma then wanaendelea na mambo mengine, kumbuka hii ni sehemu ya MMU hivyo ni tofauti na maeneo kama siasa etc. Mimi nadhani hakuna ubaguzi bali hawa watu uliowataja post zao zina mguso kwahiyo watu wanachangia. Pia hata kusoma ujumbe ni muhimu siyo kila post unachangia hata kama wenzako wamechangia mawazo yanayofanana na unayotka kuyatoa. Usijiskie vibaya watu kutocgangia post zako.

Kuna mada zingine wala hazina mguso wowote ila basi tu watu wanachangia kwa vile mwanzisha mada ni mshikaji na hiyo mada iliyoanzishwa inageuka kuwa kijiwe cha stori za ulevi na infii. Nothing substantive. Na ukiangalia watu waliochangia unakuta ni watu wasiozidi hata hata 7 na mada ina kurasa 25!!
 
fumbua macho ukweli upo mbele yako,,, jitahidi utaona..
 
Chungulia Pipa * 2
Chungulia Pipa * 2

Creeeeeeeeeeeeh

Fataki: Nani Mwenzangu?
Cheupe: Cheupe
Fataki: Aha aha
Cheupe: Mzima lakini?
Fataki: Fataki Yuko poa kila wakati!
Fataki: Cheupe wa wapi?
Cheupe: Tanga
Fataki: Handeni, Muheza, Korogwe, Lushoto, Tanga Mjini?
Cheupe: Tanga Mjini
Fataki: Majani Mapana, Barabara 9, 2, 4 au ya 3?
= = = = = =
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom