Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,802
- 1,606
Ahaaaa ahaaaaa Babu the hell keeps on happening
Last nite was ohoo yeah!!!
Ahaaaa ahaaaaa Babu the hell keeps on happening
This is what i wanted to hearLast nite was ohoo yeah!!!
Nimeshituka nilivyoona jina langu aahhh sianzishi thread tena
<br />Habari za Asubuhi waungwana, naomba mnijulishe leo harambe inaendelea kuanzia saa ngapi
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
nashukuru mie sijatajwa hehehehehe
Nimeishawasha gari niko njiani aisee hakuna mtu homeHali sasa hivi ni shwari kabisa usiogope, njoo tu bana tena home hakuna mtu. Hahahaa
Nimeishawasha gari niko njiani aisee hakuna mtu home
Morning Husband :wink2:
Nimeishawasha gari niko njiani aisee hakuna mtu home
<br />
<br />
Kama kawa
Dah!!!!! :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:Acha hizo basiMichelle dia njoo na vb lol
nashukuru mie sijatajwa hehehehehe
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:karibu sana, ngoja niite wanajeshi waje watoe hili kombora sitting room ucje kimbia bure.
Karibu sana, ngoja niite wanajeshi waje watoe hili kombora sitting room ucje kimbia bure.
<br />Tupo ktk project babu, ya CHANGIA SREDI, ONDOA UBAGUZI
Jambo Shossi potea sana jamvini.
Dah!!!!! :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:Acha hizo basi
<br />Nimeishawasha gari niko njiani aisee hakuna mtu home